Zifahamu Sababu Na Jinsi Ya Kukabiliana Na Tatizo La Ha Harufu mbaya ya kinywa humfanya mtu kuwa na wasiwasi na msongo wa mawazo akiwa katika jamii, ukiongeza unyanyapaa na wao wenyewe wanakuwa na hofu , lakini ni rahisi kushinda shida hii. About press copyright contact us creators advertise developers terms privacy policy & safety how works test new features nfl sunday ticket press copyright.
Jinsi Ya Kukabiliana Na Wakosoaji вђ Badeda Kipindi hiki kitakupa elimu ya kina na ya kitabibu kuhusu tatizo la harufu mbaya ya kinywa.utafahamu kinachosababisha, na jinsi ya kulimaliza tatizo hilo. Pia, unashauriwa kukaguliwa na daktari wa meno ili yasafishwe na uchafu uondolewe kwani uchafu huu huchangia meno kuoza na harufu mbaya mdomoni. lakini pia, chakula unachokula kwa wingi kina uwezo wa kuchochea hali hii. kwa mfano, vyakula kama vile vitunguu na vitunguu saumu, baadhi ya viungo na samaki, vimethibitishwa kuchochea hali hii. Pia tatizo kubwa ni kwamba watu wenye harufu mbaya mdomoni hawajijui kwamba wana harufu mbaya. asilimia 85 90 ya tatizo la harufu mbaya mdomoni asili yake ni kinywa chenyewe. pia kiwango cha harufu hutofautiana kutokana na muda (mchana, usiku na asubuhi). harufu nyingi mbaya mdomoni hutokana na vyakula vyenye asilia ya protein. Fahamu sababu za tatizo la harufu mbaya mdomoni (kinywani) na jinsi ya kuliepuka au kukabiliana na tatizo la kutoa harufu mbaya mdomoni kinywani.
Jinsi Ya Kukabiliana Na Hisia Mbaya Youtube Pia tatizo kubwa ni kwamba watu wenye harufu mbaya mdomoni hawajijui kwamba wana harufu mbaya. asilimia 85 90 ya tatizo la harufu mbaya mdomoni asili yake ni kinywa chenyewe. pia kiwango cha harufu hutofautiana kutokana na muda (mchana, usiku na asubuhi). harufu nyingi mbaya mdomoni hutokana na vyakula vyenye asilia ya protein. Fahamu sababu za tatizo la harufu mbaya mdomoni (kinywani) na jinsi ya kuliepuka au kukabiliana na tatizo la kutoa harufu mbaya mdomoni kinywani. Kama hupendi kunywa maji mengi na kinywa chako kinakuwa kikavu mara nyingi basi jua kuwa kunuka kinywa kwako ni jambo la kawaida. jinsi ya kutatua tatizo hakikisha mdomo haukauki kwa kawaida mdomo mkavu hutoa harufu mbaya. hii ndio sababu kuwa kinywa chako kinanuka sana asubuhi sababu mdomo wako unatengeneza mate machache sana ukiwa umelala. Ni kweli. sio kila harufu ya kinywa inakuwa initiated katika eneo la kinywa. kuna harufu inatokea kooni na chanzo ni kutokea katika njia ya chakula au utumbo. hii huwa inatokana na matatizo kama kutopata choo kwa muda mrefu, hivyo zile taka mwili huwa zinaendelea kuwapo katika utumbo na kutoa harufu kali sana ambayo hurudi kinywani.