Ultimate Solution Hub

Miradi Ya Bilioni 2 4 Imekaguliwa Na Kuweka Mawe Ya Msingi Na Mwenge Wa Uhuru Wa Mwaka 2024 Wilayani

mwenge wa uhuru Waridhia kuweka mawe ya msingi miradiођ
mwenge wa uhuru Waridhia kuweka mawe ya msingi miradiођ

Mwenge Wa Uhuru Waridhia Kuweka Mawe Ya Msingi Miradiођ Na scolastica msewa, kibiti. kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2024 godfrey mnzava ameeleza kuridhishwa na utekelezwaji wa miradi 15 wilayani kibiti mkoa wa pwani baada ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali iliyotekelezwa wilayani humo yenye thamani ya zaidi ya shilingi billion 2.4 za kitanzania. Mwenge wa uhuru mwaka 2024 utazindua, kuweka mawe ya msingi na kutembelea miradi yenye thamani ya shilingi 45.9 bilioni katika mkoa wa lindi. hayo yameelezwa leo mjini kilwa masoko na mkuu wa mkoa wa lindi, zainab telack baada ya kukabidhiwa mwenge wa uhuru na mkuu wa mkoa wa kusini unguja, ayoub mohamed mahamoud.

Single News Magu District Council
Single News Magu District Council

Single News Magu District Council Mwenge wa uhuru kitaifa kwa mwaka 2024 umekamilisha mbio zake wilayani simanjiro ambapo umeona, kuweka mawe ya msingi na kuzindua jumla ya miradi 9, ikiwemo afya,elimu,maji,barabara pamoja na mradi wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi kwa kutumia mfumo wa ikolojia vijijini yenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 6.5. Aug 2, 2024. #1. mwenge wa uhuru musoma vijijini: miradi ya thamani ya tsh 3.5 bilioni yakaguliwa na kukubalika . mwenge wa uhuru ulipokelewa kwa shangwe nyingi mno kwenye halmashauri ya wilaya ya musoma (musoma dc) yenye jimbo la musoma vijijini. hiyo ilikuwa juzi, jumatano, 31.7.2024. miradi yote 7 ilikaguliwa na kukubalika. 44 likes, 1 comments shinyangamanispaa on august 11, 2024: "mwenge wa uhuru 2024 wapitisha miradi ya maendeleo manispaa ya shinyanga kwa kishindo. na. shinyanga mc mwenge wa uhuru 2024 umezidua, umekagua,kufungua na kuweka mawe ya msingi kwenye miradi ya maendeleo manispaa ya shinyanga, huku ukizindua shule mpya ya sekondari ya butengwa iliopo kata ya ndembezi manispaa ya shinyanga. Mwenge wa uhuru watua lindi, kutembelea miradi 53. michuzi blog at friday, may 24, 2024. mkuu wa mkoa wa lindi mhe. zainab telack leo, mei 24, 2024 amepokea mwenge wa uhuru kutoka kwa mkuu wa mkoa wa kusini unguja mhe. ayoub mohammed mahmoud, ambapo unatarajia kuweka mawe ya msingi , kuweka ma we ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya.

Comments are closed.