Ultimate Solution Hub

Mpiga Picha Wa Harmonize Afunguka Mazito Baada Ya Kuondoka Kondegang

mpiga Picha Wa Harmonize Afunguka Mazito Baada Ya Kuondoka Kondegang
mpiga Picha Wa Harmonize Afunguka Mazito Baada Ya Kuondoka Kondegang

Mpiga Picha Wa Harmonize Afunguka Mazito Baada Ya Kuondoka Kondegang Mpiga picha wa harmonize na yeye aondoka konde gang. @jabulant ambae alikuwa mpiga picha wa msanii wa bongo fleva @harmonize tz ametangaza rasmi kuacha kufanya kazi na msanii huyo ambae ni mmiliki wa lebo ya muziki ya konde gang. jabulant alianza kufanya kazi na harmonize mwaka 2018 kupitia. Eko tv yafanya mazungumzo na mpiga picha mpya wa harmonize ili kujua mengj yaliyoandaliwa na msanii harmonize msimu huu#harmonize #wasafifestival #wcb wasafi.

Alichofanya harmonize baada ya Anjella Kufichua mazito ya kondegang
Alichofanya harmonize baada ya Anjella Kufichua mazito ya kondegang

Alichofanya Harmonize Baada Ya Anjella Kufichua Mazito Ya Kondegang Baada ya kufanya nae kazi kwa takribani miaka 5, mpiga picha wa mwimbaji @harmonize tz, @jabulant ameachana na rasmi na @kondegang. jabulant ametumia ukurasa wake wa instagram kuaga, kwa kuandika "kila kitu kina mwanzo na mwisho. Baada ya kutangaza watu wengi walidhani kwamba amefanya hivyo ili azungumziwe kwenye mitandao ya kijamii. leo hii kupitia insta story, jabulant amekanusha dai hilo, amefunguka kwamba hajasimama kufanya kazi konde gang ili azungumziwe kwenye mitandao bali amesimama kwa sababu ya maslahi ya maisha yake. About press copyright contact us creators advertise developers terms privacy policy & safety how works test new features nfl sunday ticket press copyright. Msanii anjella ambaye yupo chini ya kondegang amesema kwamba hana mawazo yoyote ya kuondoka katika lebo hiyo inayoongozwa na harmonize. akizungumza katika mahojiano na kituo kimoja cha habari, anjella amesema kwamba anafurahi kupata nafasi hiyo ambayo wengi wa wasanii chipukizi wanaitafuta kwa jasho jingi.

Comments are closed.