Ultimate Solution Hub

Mradi Wa Maji Makongo Hadi Bagamoyo Ni Mkombozi Mwenge Wa Uhuru Youtub

mradi wa maji makongo bagamoyo Wafikia Patamu Habarileo
mradi wa maji makongo bagamoyo Wafikia Patamu Habarileo

Mradi Wa Maji Makongo Bagamoyo Wafikia Patamu Habarileo Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndugu godfrey mnzava ameipongeza mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira dar es salaam (dawasa) kwa kuboresha huduma ya majisafi katika wilaya ya kinondoni kupitia mradi wa ujenzi wa mfumo wa usambazaji kutoka makongo hadi mji wa bagamoyo uliotekelezwa mwaka 2022 na kuhudumia wakazi takribani 450,000. Kazi nyingine ni pamoja na maunganisho ya maji kwa wateja ambapo wateja wapya 7,740 wa bunju wameunganishwa, bagamoyo wateja 1,910, mbweni wateja 145 na wazo wateja 565 wameunganishwa. hali ya utekelezaji wa mradi kwa sasa . utekelezaji wa mradi umekamilika kwa asilimia 100 na kazi ya kuunganisha wateja kwenye maeneo yote yaliyoainishwa inaendelea.

mradi wa maji Mwindi Wazinduliwa Kiongozi wa Mbio Za mwenge Kitaifa
mradi wa maji Mwindi Wazinduliwa Kiongozi wa Mbio Za mwenge Kitaifa

Mradi Wa Maji Mwindi Wazinduliwa Kiongozi Wa Mbio Za Mwenge Kitaifa Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndugu godfrey mnzava ameipongeza mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira dar es salaam (dawasa) kwa kuboresha huduma ya majisafi katika wilaya ya kinondoni kupitia mradi wa ujenzi wa mfumo wa usambazaji kutoka makongo hadi mji wa bagamoyo uliotekelezwa mwaka 2022 na kuhudumia wakazi takribani 450,000.ndugu mnzava amesema hayo wakati wa mwenge wa. About press copyright contact us creators advertise developers terms privacy policy & safety how works test new features nfl sunday ticket press copyright. W 7 15 2024 11:35:00 pm. na john walter babati. mwenge wa uhuru umezindua mradi wa maji uliotekelezwa na wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini ruwasa uliopo kijiji cha magara halmashauri ya wilaya ya babati mkoani manyara uliotumia shilingi milioni 801 hadi kukamilika. akisoma taarifa ya mradi huo kwa kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru. Kinondoni mfano bora mapinduzi katika sekta ya maji. 04 sep, 2023. naibu waziri wa maji, mhe. mhandisi maryprisca mahundi (mb) ametembelea na kukagua mradi wa usambazaji maji kutoka makongo hadi bagamoyo uliotekelezea na mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira dar es salaam (dawasa ) katika kata ya mivumoni na kuridhishwa na kazi iliyofanyika.

Comments are closed.