Ultimate Solution Hub

Mwanamme Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa Top Wellness

mwanamme Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa Top Wellness Products
mwanamme Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa Top Wellness Products

Mwanamme Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa Top Wellness Products Hamu yako ya kufanya mapenzi imepungua? zijue sababu. diego fonseca, ili uhesabiwe una tatizo la kukosa hamu na tendo la ndoa, hali hiyo inapaswa iendelee kwa kwa angalau miezi sita. Sababu za mwanamme kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa. tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanamme linaweza kusababishwa na vitu vingi sana. sababu hizo zinaweza kuwa za kimaumbile au kisaikolojia au za mchanganyiko wa vitu hivyo viwili. hebu tuone baadhi ya vyanzo vya tatizo hili. mahusiano baina ya mwanamme na mwanamke.

Ndoto ya kufanya tendo la ndoa Na Mama Mzazi Youtube
Ndoto ya kufanya tendo la ndoa Na Mama Mzazi Youtube

Ndoto Ya Kufanya Tendo La Ndoa Na Mama Mzazi Youtube Tiba kwa hamu ya tendo la ndoa. baada ya kujifanyia upembuzi juu ya tatizo lako sasa tuangalie nini cha kufanya ili uweze kutibu dalili hizi kuanzia leo ukiwa nyumbani kwako. nataka nikwambie mpenzi msomaji na unayefatilia makala hizi kwa makini, kwamba vitu tunavyoweka tumboni vianachangia karibu 80% ya kuvurugika kwa mpangilio wa homoni zako. Emmanuel james. tatizo la mwanaume kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa (hypoactive sexual desire disorder for men ) ni ile hali ya mwanaume kukosa msisimko na hamu ya kufanya tendo la ndoa. takwimu zinaonesha kwamba kila wanaume watano mmoja anakabiliwa na tatizo hili, huku tatizo hili likionekana kuwa ni chanzo kikubwa cha kujishusha. Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa. matatizo ya kupungkiwa na hamasa ama hamu ya mapenzi (diminished libido). hii ni ile hali ya mwanaume unakua umepungukiwa hisia za mapenzi au kutokua na hisia kabisa. mara nyingi wanaume wenye shida ya kusimamisha ndo hua na tatizo hili kutokana na matokeo ya kutokusimamisha kwenye hisia zake japo si mara zote. Watu wengine wanamini kuwa hamu ya kufanya tendo la ndoa inapungua kadri umri wa mwanamme unavyoongezeka. wakati ni kweli kwamba hilo huwatokea wengi, siyo lazima kwamba hamu ya kufanya mapenzi ipungue umri unapoongezeka. kuna idadi kubwa tu ya wanaume ambao hamu yao ya kufanya tendo la ndoa imebaki vilevile hata umri wao ulipokuwa mkubwa kabisa.

Comments are closed.