Ultimate Solution Hub

Mwenge Wa Kaunti Vita Vya Gavana Simba Arati Na Mbunge Sylvanus Osoro

mwenge Wa Kaunti Vita Vya Gavana Simba Arati Na Mbunge Sylvanus Osoro
mwenge Wa Kaunti Vita Vya Gavana Simba Arati Na Mbunge Sylvanus Osoro

Mwenge Wa Kaunti Vita Vya Gavana Simba Arati Na Mbunge Sylvanus Osoro #citizentv #citizendigital #citizentvkenya. Mbunge huyo alisema yuko na imani kuwa gavana simba arati ataongoza kaunti hiyo na kuifikia hatua kubwa kimaendeleo. kupitia ukurasa wake wa facebook ijumaa agosti 26, osoro alisema anajua kuwa arati ni mchapa kazi na kisii iko kwenye mikono salama.

Kiongozi wa Mbio Za mwenge 2023 Aagiza Kuondolewa Kwa Viti na Meza
Kiongozi wa Mbio Za mwenge 2023 Aagiza Kuondolewa Kwa Viti na Meza

Kiongozi Wa Mbio Za Mwenge 2023 Aagiza Kuondolewa Kwa Viti Na Meza Waziri wa elimu ezekiel machogu ameelezea kufadhahishwa kwake na mgogoro wa kisiasa unaoendelea baina ya gavana wa kisii simba arati na mbunge wa mugirango kusini silvanus osoro. kwa kuwa uhasama huo umeanza kuweka maisha ya watu wa eneo hilo hatarini, waziri machogu ameanzisha juhudi za kupatanisha wawili hao kupitia viongozi wa makanisa. Gavana simba arati: mimi sina uhasama na mbunge sylvanus osoro. hakuna siku tumepatana na kukosana. inaaminika kuwa waziri wa elimu ezekiel machogu yuko. Na wycliffe nyaberi . wanasiasa wakongwe na wazee wengine kutoka jamii ya abagusii, wameahidi kumbembeleza gavana wa kisii simba arati akubali kuhudhuria vikao vya maridhiano, vinavyolenga kumpatanisha na hasidi wake wa kisiasa, mbunge wa mugirango kusini sylvanus osoro. Kaunti za kisii na murang’a ambazo katika siku za hivi majuzi zimekumbwa na misukosuko ya kisiasa zimefanyiwa marekebisho ya kiutawala na waziri wa usalama wa ndani bw kithure kindiki. kaunti ya kisii imekuwa ngome ya vurugu kati ya wafuasi wa gavana simba arati na kiranja wa wengi katika bunge la kitaifa, bw silvanus osoro ambao hukabiliana.

Comments are closed.