Ultimate Solution Hub

Mwenge Wa Uhuru 2024 Waridhishwa Na Miradi Yote Hanang

Single Event hanang District Council
Single Event hanang District Council

Single Event Hanang District Council Mkuu wa mkoa wa dar es salaam albert chalamila, leo mei 7, 2024 amesema mkoa huo unatarajia kupokea mwenge wa uhuru utakaowasili mei 08, 2024 mkoani humo, utapitia miradi 39 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 479.6 huku ukikimbizwa kwa takribani kilomita 427.78. #mwengewauhuru #hanang #miradi.

Makala Kuhusu Falsafa Dhana na Umuhimu wa Mbio Za mwenge wa uhuru
Makala Kuhusu Falsafa Dhana na Umuhimu wa Mbio Za mwenge wa uhuru

Makala Kuhusu Falsafa Dhana Na Umuhimu Wa Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Mbio za mwenge wa uhuru 2024 katika wilaya ya ilala mkoa wa dar es salaam umekimbizwa umbali wa km 81.7 na kupitia miradi 7 yenye thamani ya tsh 40,941,764,931 mwenge wa uhuru katika wilaya hiyo ukiongozwa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndg godfrey eliakimu mnzava umetembelea, umekagua, umeweka jiwe la msingi. Mkuu wa mkoa wa dar es salaam albert chalamila leo mei 08, 2024 amepokea mwenge wa uhuru kutoka mkoa wa pwani katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwl jk nyerere terminal i. akiongea wakati wa makabidhiano hayo rc chalamila amesema mbio za mwenge wa uhuru katika mkoa huo zitakimbizwa umbali wa km 427.78, kupitia miradi ya maendeleo 39 yenye. 01st apr, 2024. serikali imesema kuwa shughuli za maandalizi kuelekea kuzindua mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2024 zakamilika. amesema hayo, waziri wa habari, vijana, utamaduni na michezo zanzibar, mhe. tabia mwita, leo tarehe 1 aprili, 2024 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya uzinduzi wa mwenge huo. aidha, waziri. Michuzi blog at monday, april 15, 2024 habari, jamii, kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2024 godfrey mnzava katikati akifungua koki ya maji baada ya kuzindua mradi wa maji wa kuboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kata ya chongoleani jijini tanga unaofanywa na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira tanga (tanga uwasa) kulia.

Comments are closed.