Ultimate Solution Hub

Mwenge Wa Uhuru Kitaifa 2023 Kukagua Miradi 99 Yenye Thamani Ya

Mhe abubakar kunenge mkuu wa mkoa wa pwani ameeleza hayo akiwa halmashauri ya chalinze eneo la ubena zomozi tarehe 15 mei,2023 wakati akipokea mbio za mwenge wa uhuru kitaifa 2023 kutoka kwa mkuu wa mkuu wa mkoa wa morogoro mhe fatma mwasa. Mwenge wa uhuru kuzindua miradi 99 ya trilioni 4.4 pwani. by mtanzania digital. may 15, 2023. 0. 1373. mkuu wa mkoa wa pwani, abubakari kunenge (kulia) akipokea mwenge wa uhuru leo mei 15, kutoka kwa mkuu wa mkoa wa morogoro, fatma mwasa katika makabidhiano yaliyofanyika eneo ubena chalinze. na gustafu haule, pwani.

Mkuu wa mkoa wa dar es salaam albert chalamila, leo mei 7, 2024 amesema mkoa huo unatarajia kupokea mwenge wa uhuru utakaowasili mei 08, 2024 mkoani humo, utapitia miradi 39 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 479.6 huku ukikimbizwa kwa takribani kilomita 427.78. rc chalamila ametoa kauli hiyo leo mei 07, 2024 jijini dar es salam, alipokuwa. Mwenge wa uhuru ulipokelewa mkoani iringa mei mosi 2023 na kukimbizwa kilometa 719 na miradi 31 yenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 63.1. mwenge wa uhuru umekabidhiwa mkoani morogoro na kupokelewa na mkuu wa mkoa wa morogoro mei 6, 2023 na mh. fatuma mwasa, katika wilaya ya mlimba kata ya chita ukiwa salama na wakimbiza mwenge kitaifa 6. Mbio za mwenge wa uhuru 2024 katika wilaya ya ilala mkoa wa dar es salaam umekimbizwa umbali wa km 81.7 na kupitia miradi 7 yenye thamani ya tsh 40,941,764,931 mwenge wa uhuru katika wilaya hiyo ukiongozwa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndg godfrey eliakimu mnzava umetembelea, umekagua, umeweka jiwe la msingi. Mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2023 zimewasili mkoani geita kutokea mkoani shinyanga ambapo utakimbizwa katika halmashauri sita, kutembelea, kukagua na kuzindua miradi 59 yenye thamani ya sh bilioni 29. akizungumuza leo wakati wa mapokezi ya mwenge katika kijiji cha nyang’olongo wilayani nyang’hwale, mkuu wa mkoa wa geita, martin shigela alisema mwenge wa uhuru.

Mbio za mwenge wa uhuru 2024 katika wilaya ya ilala mkoa wa dar es salaam umekimbizwa umbali wa km 81.7 na kupitia miradi 7 yenye thamani ya tsh 40,941,764,931 mwenge wa uhuru katika wilaya hiyo ukiongozwa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndg godfrey eliakimu mnzava umetembelea, umekagua, umeweka jiwe la msingi. Mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2023 zimewasili mkoani geita kutokea mkoani shinyanga ambapo utakimbizwa katika halmashauri sita, kutembelea, kukagua na kuzindua miradi 59 yenye thamani ya sh bilioni 29. akizungumuza leo wakati wa mapokezi ya mwenge katika kijiji cha nyang’olongo wilayani nyang’hwale, mkuu wa mkoa wa geita, martin shigela alisema mwenge wa uhuru. Waziri mkuu kassim majaliwa ametoa wito kwa watanzania kuepuka matumizi ya dawa za kulevya kwani yanaharibu nguvukazi ya taifa hasa vijana ambao wanategemewa kuongoza kufanya shughuli za uzailishaji na kuharakisha maendeleo ametoa wito huo leo (jumanne aprili 2, 2024) katika sherehe za uzinduzi wa mbio za mwenge wa uhuru zilizofanyika kitaifa katika viwanja vya chuo. Mtwarars habari on june 8, 2024: "mwenge wa uhuru wakabidhiwa ruvuma leo juni 8,2024 serikali ya mkoa wa mtwara imekabidhi mwenge wa uhuru katika kijiji cha sauti moja wilaya ya tunduru mkoa wa ruvuma kwa ajili ya kuendelea na mbio zake mkoani humo. akizungumza mkoani ruvuma kwenye kukabidhi mwenge huo, mkuu wa mkoa wa mtwara kanali patrick kenan sawala amesema mwenge umepitia miradi 62.

Waziri mkuu kassim majaliwa ametoa wito kwa watanzania kuepuka matumizi ya dawa za kulevya kwani yanaharibu nguvukazi ya taifa hasa vijana ambao wanategemewa kuongoza kufanya shughuli za uzailishaji na kuharakisha maendeleo ametoa wito huo leo (jumanne aprili 2, 2024) katika sherehe za uzinduzi wa mbio za mwenge wa uhuru zilizofanyika kitaifa katika viwanja vya chuo. Mtwarars habari on june 8, 2024: "mwenge wa uhuru wakabidhiwa ruvuma leo juni 8,2024 serikali ya mkoa wa mtwara imekabidhi mwenge wa uhuru katika kijiji cha sauti moja wilaya ya tunduru mkoa wa ruvuma kwa ajili ya kuendelea na mbio zake mkoani humo. akizungumza mkoani ruvuma kwenye kukabidhi mwenge huo, mkuu wa mkoa wa mtwara kanali patrick kenan sawala amesema mwenge umepitia miradi 62.

Comments are closed.