Ultimate Solution Hub

Mwenge Wa Uhuru Mlimba Wazindua Miradi Saba Ya Maendeleo

mwenge wa uhuru wazindua miradi ya maendeleo Mitatu yaо
mwenge wa uhuru wazindua miradi ya maendeleo Mitatu yaо

Mwenge Wa Uhuru Wazindua Miradi Ya Maendeleo Mitatu Yaо Halmashauri ya wilaya ya mlimba ilipokea na kukimbiza mwenge wa uhuru katika miradi saba yenye thamani ya kiasi cha shilingi 2,361,154,430.53 na katika miradi hiyo mitatu ilifunguliwa, mmoja uliwekewa jiwe la msingi, miwili ilionwa na mmoja ulizinduliwa. kiongozi wa mwenge wa uhuru 2024. Mkuu wa mkoa wa dar es salaam albert chalamila, leo mei 7, 2024 amesema mkoa huo unatarajia kupokea mwenge wa uhuru utakaowasili mei 08, 2024 mkoani humo, utapitia miradi 39 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 479.6 huku ukikimbizwa kwa takribani kilomita 427.78. rc chalamila ametoa kauli hiyo leo mei 07, 2024 jijini dar es.

mwenge wa uhuru Kupitia miradi 36 Simiyu Yenye Thamani ya Zaidi yaо
mwenge wa uhuru Kupitia miradi 36 Simiyu Yenye Thamani ya Zaidi yaо

Mwenge Wa Uhuru Kupitia Miradi 36 Simiyu Yenye Thamani Ya Zaidi Yaо Mbio za mwenge wa uhuru 2024 katika wilaya ya iramba umepitia miradi mbalimbali ya maendeleo hakuna mradi uliokataliwa. mbio za mwenge wa uhuru 2024 wilaya ya iramba julai 9,2024 umekimbizwa umbali wa km 68.1 umetembelea, umekagua, umeweka jiwe la msingi, pamoja na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya tsh. bilioni 5.084. Mwenge huo wa uhuru ukiwa wilayani kishapu umekimbizwa kilomitab 91.5 umezindua,kuona na kuweka jiwe la msingi miradi 10 ya maendeleo yenye thamani ya sh.bilioni 3.5. kauli mbiu ya mwenge wa uhuru kitaifa 2024 inasema"tunza mazingira na shiriki uchaguzi wa serikali za mitaa kwa ujenzi wa taifa endelevu". Jumla ya miradi 23 ya zaidi ya billion 5 inatarajiwa kutembelewa na mwenge wa kitaifa wa uhuru 2024 kwa mkoa wa mjini magharibi. akizungumza katika mapokezi ya mwenge huo huko uwanja wa ndege zanzibar mkuu wa mkoa wa mjini magharib idrissa kitwana mustafa amesema mbio za mwenge wa uhuru, mkoani humo zitahusisha kilomita 104 na kutembelea miradi 23 ya maendeleo. Mbio za mwenge wa uhuru 2024 katika wilaya ya ilala mkoa wa dar es salaam umekimbizwa umbali wa km 81.7 na kupitia miradi 7 yenye thamani ya tsh 40,941,764,931. mwenge wa uhuru katika wilaya hiyo ukiongozwa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndg godfrey eliakimu mnzava umetembelea, umekagua, umeweka jiwe la msingi na kuzindua miradi.

Vijimambo mwenge wa uhuru wazindua miradi Tisa Mbinga Mji ya Mil
Vijimambo mwenge wa uhuru wazindua miradi Tisa Mbinga Mji ya Mil

Vijimambo Mwenge Wa Uhuru Wazindua Miradi Tisa Mbinga Mji Ya Mil Jumla ya miradi 23 ya zaidi ya billion 5 inatarajiwa kutembelewa na mwenge wa kitaifa wa uhuru 2024 kwa mkoa wa mjini magharibi. akizungumza katika mapokezi ya mwenge huo huko uwanja wa ndege zanzibar mkuu wa mkoa wa mjini magharib idrissa kitwana mustafa amesema mbio za mwenge wa uhuru, mkoani humo zitahusisha kilomita 104 na kutembelea miradi 23 ya maendeleo. Mbio za mwenge wa uhuru 2024 katika wilaya ya ilala mkoa wa dar es salaam umekimbizwa umbali wa km 81.7 na kupitia miradi 7 yenye thamani ya tsh 40,941,764,931. mwenge wa uhuru katika wilaya hiyo ukiongozwa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndg godfrey eliakimu mnzava umetembelea, umekagua, umeweka jiwe la msingi na kuzindua miradi. Kiongozi wa mbio za mwenge akoshwa na miradi 26 ya maendeleo mkoa wa pwani. na victor masangu,dar. kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa kwa mwaka wa 2024 godfrey msava amewapongeza kwa dhati viongozi mbali mbali wa mkoa wa pwani kwa kuweza kuwa kitu kimoja katika kusimamia miradi mbali mbali ya maendeleo ambayo imempelekea kuridhishwa na. Mwenge wa uhuru umezindua miradi saba yenye thamani ya sh2.361 bilioni kwenye halmashauri ya wilaya ya mlimba ikijumuisha ya elimu, maji, afya, kilimo, mifugo, maliasili, mazingira na uwezeshaji wananchi kiuchumi.

Comments are closed.