Ultimate Solution Hub

Mwenge Wa Uhuru Wawasili Singida Kuzindua Miradi Ya Zaidi Ya Sh 8

mwenge Wa Uhuru Wawasili Singida Kuzindua Miradi Ya Zaidi Ya Sh 8
mwenge Wa Uhuru Wawasili Singida Kuzindua Miradi Ya Zaidi Ya Sh 8

Mwenge Wa Uhuru Wawasili Singida Kuzindua Miradi Ya Zaidi Ya Sh 8 Mkuu wa mkoa wa tabora dk. balozi batilda buriani akimkabidhi mwenge wa uhuru 2021 mkuu wa mkoa wa singida, dk.binilith mahenge katika kijiji cha mseko wilayani iramba baada ya kuhitimisha mbio zake mkoani humo leo. mwenge wa uhuru ukiwa mkoani hapa unatarajiwa kupitia miradi mbalimbali yenye thamani ya sh.8,182,219,653.99. Mkuu wa mkoa wa dar es salaam albert chalamila, leo mei 7, 2024 amesema mkoa huo unatarajia kupokea mwenge wa uhuru utakaowasili mei 08, 2024 mkoani humo, utapitia miradi 39 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 479.6 huku ukikimbizwa kwa takribani kilomita 427.78. rc chalamila ametoa kauli hiyo leo mei 07, 2024 jijini dar es salam, alipokuwa.

mwenge Wa Uhuru Wawasili Singida Kuzindua Miradi Ya Zaidi Ya Sh 8
mwenge Wa Uhuru Wawasili Singida Kuzindua Miradi Ya Zaidi Ya Sh 8

Mwenge Wa Uhuru Wawasili Singida Kuzindua Miradi Ya Zaidi Ya Sh 8 Rc chalamila ametoa kauli hiyo leo mei 07, 2024 jijini dar es salam, alipokuwa akielezea ujio wa mwenge wa uhuru ukitokea mkoa wa pwani. “mwenge wa uhuru kesho utakapowasili katika uwanja wa ndege wa mwalimu julius nyerere terminal 1, utakapoanza kuzunguuka kwenye wilaya zote za mkoa huu, utazindua, kukagua na kuweka jiwe la msingi kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo” amesema rc chalamila. Iringa. mwenge wa uhuru unatarajiwa kuwasili mkoani iringa juni 22,2024 ukitokea mkoani njombe ambapo utazinduaa miradi yenye thamani ya zaidi ya bilioni 600 na utakimbizwa kwenye halmashauri 5 za mkoa wa iringa. mkuu wa mkoa wa iringa mhe. peter serukamba juni21,2024 amewaambia wanahabari kuwa mwenge huo utapokelwa mkoani humo ukitokea mkoani. Aidha mwenge wa uhuru mwaka 2024 ukiwa mkoani hapa utafanya kazi ya kuweka mawenya msingi miradi 17 yenye thamani ya bil.134.1, kuzindua miradi 8 yenye thamani ya bil.3.4, kufungua miradi 4 yenye thamani ya sh.bil.1.3 na kukagua miradi kuona miradi 28 yenye thamani ya sh. bil.10.7. 26 likes, 0 comments shambafmradio on june 21, 2024: "mwenge wa uhuru kuzindua miradi yenye thamani ya zaidi ya bilioni 600 iringa miradi yenye thamani ya zaidi ya bilioni 600 mkoani iringa inatarajiwa kuzinduliwa katika mbio za mwenge wa uhuru unatarajiwa kupokelewa juni 22 ,2024 ukitokea mkoa wa njombe. shughuli za mapokezi ya mwenge huo zitafanyika katika kijiji cha nyigo wilayani mufindi.

Comments are closed.