Ultimate Solution Hub

Mwenge Wa Uhuru Wazindua Jengo La Wagonjwa Mahututi Wilayani Mafia

Single News Sikonge District Council
Single News Sikonge District Council

Single News Sikonge District Council Mwenge wa uhuru ,unamaliza mbio zake mkoani pwani katika wilaya ya mafia, na mei 8 utakabidhiwa mkoa wa dar es salaam. mwenge huo ,uliingia mkoani pwani april 29 mwaka 2024, umepitia halmashauri tisa, wilaya saba ,miradi 126 yenye thamani ya trilioni 8.536 . Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa (2024) godfrey mzava ,ametoa wito kwa jeshi la polisi mkoani pwani ,kuongeza nguvu ya doria kwenye bandari bubu zilizopo kwenye fukwe ya bahari ya hindi katika ukanda huo ili kudhibiti uingizaji na usafirishaji wa madawa ya kulevya. alitoa wito huo wilayani mafia, wakati akitoa ujumbe na jumbe.

Single News Ikungi District Council
Single News Ikungi District Council

Single News Ikungi District Council Mmoja wa wananchi hao amina tuki alisema kwamba ujio wa mwenge wa uhuru ni mkombozi mkubwa katika kuchochea kasi ya maendeleo na wananchi kuweza kupata fursa ya kupata huduma za kijamii kwa urahisi. aidha alipongeza juhudi zilizofanywa na halmashauri ya wilaya ya mafia kwa kufanikisha mradi wa ujenzi wa jengo la wagonjwa mahututi (icu) pamoja. Mwenge wa uhuru wazindua jengo jipya la uchunguzi kahama. august 15, 2024, 10:45 pm. mkazi wa nyasubi wilayani kahama leo afikishwa katika mahakama ya wilaya. About press copyright contact us creators press copyright contact us creators. Mwenge wa uhuru wazindua jengo la nyamongo plaza george marato tv. july 29, 2024. 0. na mwandishi wetu tarime. kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa 2024.

Comments are closed.