Ultimate Solution Hub

Mwenge Wa Uhuru Wazindua Miradi Kwa Kishindo Meru Mpumilwa Ampongeza

Single News Ikungi District Council
Single News Ikungi District Council

Single News Ikungi District Council Mpumilwa alisema viongozi hao wameiheshimisha wilaya ya meru ,baada ya kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa,abdalah shaib kaim kuridhishwa na kiwango cha ujenzi wa miradi na kuizindua kwa kishindo na miradi yote imepita. "sisi kama wasimamizi wa ilani wa ccm tumefurahishwa mno na usimamizi wa miradi ya kimkakati uliofanywa na uongozi wa wilaya. Mkuu wa mkoa wa dar es salaam albert chalamila, leo mei 7, 2024 amesema mkoa huo unatarajia kupokea mwenge wa uhuru utakaowasili mei 08, 2024 mkoani humo, utapitia miradi 39 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 479.6 huku ukikimbizwa kwa takribani kilomita 427.78. rc chalamila ametoa kauli hiyo leo mei 07, 2024 jijini dar es.

Single News Mwanza Region
Single News Mwanza Region

Single News Mwanza Region Waziri mkuu kassim majaliwa ametoa wito kwa watanzania kuepuka matumizi ya dawa za kulevya kwani yanaharibu nguvukazi ya taifa hasa vijana ambao wanategemewa kuongoza kufanya shughuli za uzailishaji na kuharakisha maendeleo ametoa wito huo leo (jumanne aprili 2, 2024) katika sherehe za uzinduzi wa mbio za mwenge wa uhuru zilizofanyika kitaifa katika viwanja vya chuo. Posted on: april 2nd, 2024. waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa kassim majaliwa majaliwa leo amezindua rasmi mbio za mwenge wa uhuru 2024 katika viwanja vya chuo cha ushirika mjini moshi,mkoani kilimanjaro. akizindua mbio hizo waziri mkuu aliwataka wakimbiza mwenge kitaifa kuhakikisha kuwa wanahubiri agenda za taifa katika. Kwa mujibu wa taarifa mwenge wa uhuru mkoani dodoma unapita kukagua idadi ya miradi 56 yenye thamani ya sh.bilioni 21.2 ambapo utakimbizwa kwa siku nane katika wilaya saba mkoa huo kwa umbali wa kilomita 1484. mwenge wa uhuru kwa mwaka huu unaongoza na kauli mbiu ya ‘’tunza mazingira na shiriki uchaguzi wa serikali za mitaa kwa ujenzi wa. Mkuu wa mkoa wa dar es salaam albert chalamila leo mei 08, 2024 amepokea mwenge wa uhuru kutoka mkoa wa pwani katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwl jk nyerere terminal i. akiongea wakati wa makabidhiano hayo rc chalamila amesema mbio za mwenge wa uhuru katika mkoa huo zitakimbizwa umbali wa km 427.78, kupitia miradi ya maendeleo 39 yenye.

Comments are closed.