Ultimate Solution Hub

Mwenyekiti Wa Taasisi Ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam

mwenyekiti Wa Taasisi Ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam
mwenyekiti Wa Taasisi Ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam

Mwenyekiti Wa Taasisi Ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam 228. vick kamata akiimba wimbo maalum wa uzinduzi wa taasisi ya mama mariam mwinyi, zanzibar maisha bora foundation (zmbf) na wimbo wa wanawake na maendeleo, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika uwanja wa mao zedung wilaya ya mjini unguja. (kushoto kwake) mke wa rais wa zanzibar ambae pia ni mwenyekiti wa taasisi hiyo, mama mariam mwinyi. Msarifu na mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya taasisi ya zanzibar maisha bora foundation (zmbf) mama mariam mwinyi akizungumza na uongozi wa benki ya dtb tanzania.katika ofisi za zmbf ikulu migombani.

mwenyekiti Wa Taasisi Ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam
mwenyekiti Wa Taasisi Ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam

Mwenyekiti Wa Taasisi Ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mke wa rais wa zanzibar ambae pia ni mwenyekiti wa zanzibar maisha bora foundation mama mariam mwinyi akiwa katika mazoezi ya viungo baada ya kumaliza matembezi ya uzinduzi wa taasisi yake katika viwanja vya mao zedung na (kulia kwake) mama anna mkapa, mama siti mwinyi na mama salma kikwete na (kushoto kwake) mama mary majaliwa, wakishiriki. Zmbf kushirikiana na dtb mariam mwinyi. msarifu na mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya taasisi ya zanzibar maisha bora foundation (zmbf) mama mariam mwinyi amesema zmbf itashirikiana na benki ya dtb tanzania katika maeneo tofauti ikiwemo kuwasaidia wasichana kupata taulo za kike za kufua kupitia tumaini initiative mradi unaotekelezwa na zmbf. Mke wa rais wa zanzibar , msarifu na mwenyekiti wa zanzibar maisha bora foundation mhe.mariam mwinyi amekutana na katibu mtendaji wa taasisi ya maendeleo ya wake wa marais wa afrika (organization of african first ladies for development (oaflad) , dkt. nardos berhanu ofisini kwake ikulu migombani tarehe: 12 machi 2024. Esther mnyika. . april 20, 2024. na mwandishi wetu, zanzibar. mke wa rais wa zanzibar, msarifu na mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya taasisi ya zanzibar maisha bora foundation (zmbf), mama mariam mwinyi amesema serikali itaendelea kutambua na kuthamini mchango wa wanawake na kuwashirikisha katika ngazi ya maamuzi na kuendeleza maendeleo nchini.

Comments are closed.