![nmb Yachangia Mabati 802 Madawati 50 Na Vitanda 8 Vya Hospitalini nmb Yachangia Mabati 802 Madawati 50 Na Vitanda 8 Vya Hospitalini](https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2019/04/nmb-1.jpg)
Nmb Yachangia Mabati 802 Madawati 50 Na Vitanda 8 Vya Hospitalini Benki ya nmb imechangia jumla ya mabati 802 kwa ajili ya kuezeka madarasa ya chuo cha veta kalambo, shule za kipeta na ilanga pia kuzipa madawati 50, pamoja na vitanda 8 vya hospitali vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 35. Naibu waziri tamisemi mh josephat kandege akizungumza jambo mara baada ya kukabidhiwa msaada wa mabati 802 ,vitanda 8 vya hospital pamoja na madawati 50 vyenye jumla ya thamani ya shilingi mil 35 kutoka kwa meneja wa nmb kanda ya nyanda za juu kusini ,straton chilongola mwenye suti nyeusi (kulia) hafla ambayo imefanyika katika soko la wakulima halmashauri ya wilaya ya kalambo mkoani rukwa.
![nmb Yachangia Mabati 802 Madawati 50 Na Vitanda 8 Vya Hospitalini nmb Yachangia Mabati 802 Madawati 50 Na Vitanda 8 Vya Hospitalini](https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2019/04/nmb-2.jpg)
Nmb Yachangia Mabati 802 Madawati 50 Na Vitanda 8 Vya Hospitalini Nmb yachangia mabati 802, madawati 50 na vitanda 8 vya hospitalini isri mohamed apr 1, 2019 benki ya nmb imechangia jumla ya mabati 802 kwa ajili ya kuezeka madarasa ya chuo cha veta kalambo, shule za kipeta na ilanga pia kuzipa madawati 50, pamoja na vitanda 8 vya hospitali vyote vikiwa…. Benki ya nmb imekabidhi msaada wa madawati 70, vitanda 44 na magodoro 78 kwa shule ya sekondari namwai iliyopo wilayani siha kilimanjaro.msaada huo una thamani ya shilingi milioni 20 na umekuja kutokana na mahitaji ya shule kwa wakati huu. Alibainisha kuwa, nmb itaendelea kushirikiana na serikali katika kuleta maendeleo katika jamii inayowanzunguka. “kwa maana hiyo, nmb tumeamua kushirikiana na shule hizo, ambazo kila shule inapata madawati 50 na viti vyake. pia tumechangia shule ya msingi mzimuni mabati 150, huku shule tano zikipata mashine za kunawia mikono na maji tiririka. Nmb bank plc., is a commercial bank in tanzania, the second largest economy in the east african community. it is licensed by the bank of tanzania, the central bank and national banking regulator.
![nmb Yatoa mabati 400 Vituo Vya Afya Tandahimba Habarileo nmb Yatoa mabati 400 Vituo Vya Afya Tandahimba Habarileo](https://habarileo.co.tz/wp-content/uploads/2022/10/NMB.jpg)
Nmb Yatoa Mabati 400 Vituo Vya Afya Tandahimba Habarileo Alibainisha kuwa, nmb itaendelea kushirikiana na serikali katika kuleta maendeleo katika jamii inayowanzunguka. “kwa maana hiyo, nmb tumeamua kushirikiana na shule hizo, ambazo kila shule inapata madawati 50 na viti vyake. pia tumechangia shule ya msingi mzimuni mabati 150, huku shule tano zikipata mashine za kunawia mikono na maji tiririka. Nmb bank plc., is a commercial bank in tanzania, the second largest economy in the east african community. it is licensed by the bank of tanzania, the central bank and national banking regulator. 50 nmb no. 8 case no. r 7589 findings upon investigation dismissal december 21, 2022 findings upon investigation this determination addresses the application of the transport workers union of america, afl cio (twu) alleging a representation dispute pursuant to the railway labor act (rla),1 45 u.s.c. § 152, ninth (section 2, ninth), among. Akikabidhi mabati na madawati hayo leo alhamis julai 29,2021 kwa mkuu wa wilaya ya shinyanga mhe. jasinta mboneko, meneja wa benki ya nmb kanda ya magharibi, sospeter njile magesse amesema wametoa msaada huo ili kuboresha sekta ya elimu katika wilaya ya shinyanga ikiwa ni kipaumbele cha benki ya nmb kwenye sekta ya elimu na afya.