Nmb Yaibuka Kinara Wa Tuzo Ya Benki Bora Tanzania 2023 Benki ya nmb imeandika historia nyingine baada ya kutwaa tuzo ya benki bora tanzania kwa mwaka 2023 wakati wa mkutano wa africa bank 4.0 summit uliofanyika jijini nairobi, nchini kenya kutokana na jitihada na utendaji kazi wa benki hiyo katika. Benki ya nmb imeandika historia nyingine baada ya kutwaa tuzo ya benki bora tanzania kwa mwaka 2023 wakati wa mkutano wa africa bank 4.0 summit uliofanyika jijini nairobi, nchini kenya kutokana na jitihada ma utendaji kazi wa benki hiyo katika kuimarisha uchumi wa tanzania kwa kutoa suluhu za kidijitali na huduma bora. tuzo hiyo ilizingatia.
![benki ya nmb Kutoa Mikopo ya Nyumba Mtanzania benki ya nmb Kutoa Mikopo ya Nyumba Mtanzania](https://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2017/11/unnamed.png)
Benki Ya Nmb Kutoa Mikopo Ya Nyumba Mtanzania Benki ya nmb imenyakua tuzo nne kwenye shindano la mwaka huu la mwajiri bora wa mwaka (eya 2023), ukiwemo ushindi wa pili kwenye mshindi jumla wa tuzo hizo zilizoandaliwa jana jijini dar es salaam na chama cha waajiri tanzania (ate). tuzo nyingine ilizoshinda benki hiyo ni za mshindi wa pili wa sekta binafsi, wa kwanza katika ubora, tija na. Tuzo nyingine ilizoshinda benki hiyo ni za mshindi wa pili wa sekta binafsi, wa kwanza katika ubora, tija na ubunifu, na wa kwanza pia kwenye masuala ya usawa wa kinjinsia. hii ni mara ya pili mfululizo kwa benki hiyo kung’ara kwenye tuzo hizo za kila mwaka baada yakutangazwa kuwa mwajiri bora wa mwaka 2022 na kushinda tuzo nyingine mbili kutokana na ubora wake wa kibiashara na katika. Akiongea mara baada ya kupokea tuzo hizo, afisa mtendaji mkuu wa benki ya nmb, bi. ruth zaipuna alisema tuzo hizo ni matokeo chanya ya misingi imara ya utawala bora na uadilifu, kuzingatia kanuni za ulipaji kodi, ufanisi katika kuendesha biashara na ubunifu wa suluhishi bora za kifedha kwa wateja. Ruth zaipuna amezitambulisha rasmi katika hafla fupi iliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya nmb. “hii ni mara ya 10 benki ya nmb kutambulika kama benki bora nchini ndani ya miaka 11 iliyopita, ikidhihirisha ufanisi wetu wa kiutendaji, mapinduzi ya kiteknolojia na ubunifu, uongozi dhabiti, na uimara wetu katika kuleta masuluhisho.
![nmb Yazidi Kung Ara Yawa kinara wa tuzo ya Uajiri bora Afrika Cc nmb Yazidi Kung Ara Yawa kinara wa tuzo ya Uajiri bora Afrika Cc](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2022/12/Mwajiri-bora-Afrika-1.jpg)
Nmb Yazidi Kung Ara Yawa Kinara Wa Tuzo Ya Uajiri Bora Afrika Cc Akiongea mara baada ya kupokea tuzo hizo, afisa mtendaji mkuu wa benki ya nmb, bi. ruth zaipuna alisema tuzo hizo ni matokeo chanya ya misingi imara ya utawala bora na uadilifu, kuzingatia kanuni za ulipaji kodi, ufanisi katika kuendesha biashara na ubunifu wa suluhishi bora za kifedha kwa wateja. Ruth zaipuna amezitambulisha rasmi katika hafla fupi iliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya nmb. “hii ni mara ya 10 benki ya nmb kutambulika kama benki bora nchini ndani ya miaka 11 iliyopita, ikidhihirisha ufanisi wetu wa kiutendaji, mapinduzi ya kiteknolojia na ubunifu, uongozi dhabiti, na uimara wetu katika kuleta masuluhisho. Tuzo hizo za ubora za jarida la euromoney ni mwendelezo wa kutambuliwa kwake ndani na nje ya nchi kwa umahiri na ubunifu ambapo mwaka jana ilishinda zaidi ya tuzo 30. ushindi wa nmb katika tuzo za ubora za euromoney 2024 ni pamoja na kutunukiwa zawadi ya benki bora tanzania kwa mara ya 11 katika kipindi cha miaka 12, ikiwamo mwaka 2023. Spread the love. imeelezwa kuwa mazingira bora ya biashara yaliyopo nchini yameiwezesha benki ya nmb kutoa mikopo ya zaidi ya sh 585 bilioni katika kipindi cha kuanzia julai 2023 hadi mei 2024. pia benki hiyo imeeleza kuwa na uwezo wa kukopesha hadi sh 515 bilioni kwa mkupuo mmoja ‘single borrower limit’ kutokana na kufanya vizuri kwenye.