Nmb Yatoa Msaada Wa Vifaa Hospitali Ya Micheweni Pemba вђ Bongo5 Benki ya nmb imetoa msaada wa vifaa vya hospitali; vitanda, magodoro na mashuka vyenye thamani ya shilingi milioni kumi na tano kwa hospitali za halmashauri za wilaya za tarime vijijini (mara), ushetu katika wilaya ya kahama (shinyanga) na mikumi – wilaya ya kilomero (morogoro). vifaa hivyo vimekabidhiwa wakati benki hiyo ikizindua huduma. Mkuu wa mauzo – idara ya hazina ya benki ya nmb, jeremiah lyimo (wapili kutoka kushoto) akikabidhi msaada wa vitanda saba vikiwemo viwili vya kujifungulia na magodoro kwa katibu tawala wa wilaya ya tarime – john marwa, watatu kutoka kulia ni mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya tarime, apoo castro tindwa, meneja wa nmb tawi la nyamongo, erick manyama (mwenye miwani) pamoja na meneja wa.
Nmb Yatoa Msaada Wa Vifaa Vyenye Thamani Ya Shiling Milioni 11 Shule Y Vifaa vilivyokabidhiwa na baragomwa ni mashuka 200, skrini za kutenganisha vitanda 11, vitanda sita vya kufanyia vipimo kwa wagonjwa, pamoja na masanduku 20 ya pembeni ya vitanda ya kuhifadhia dawa za wagonjwa, vyote vikiwa ni kwa ajili ya hospitali ya wilaya. vifaa vingine ni pamoja na mashuka 66, magodoro 60, skrini za kutenganishia vitanda. Posted on jun 30, 2015. benki ya nmb imetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwaajili ya zahanati ya chuo kikuu cha dodoma vyenye thamani ya shilingi milioni 20. vifaa hivyo vilivyotolewa kwa makamu mkuu wa chuo kikuu cha dodoma – prof shaaban mlacha ni pamoja na jokofu kwaajili ya benki ya damu, meza ya upasuaji (operating table), taa maalumu. Benki ya nmb kanda ya magharibi imetoa msaada wa vitanda vya kujifungulia wajawazito , kulala wagonjwa, magodoro, machela, shuka na viti vya wagonjwa katika hospitali ya halmashauri ya manispaa ya kahama mkoani shinyanga vyenye thamani ya shilingi milioni 6.7. ili kuboresha huduma za afya kwa wananchi hususani wanawake wanaofika kujifungua katika hospitali hiyo. Kwa upande wa sekta ya afya, benki hiyo pia ilitoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 12.3 katika hospitali ya wilaya ya chemba ambavyo ni pamoja na mashuka 64, vitanda vya kujifungulia vinne, vitanda vya kawaida vya wagonjwa 10, na magodoro 10 miongoni mwa vifaa hivyo kwa lengo la kuasaidia kuimarisha utoaji huduma.
Nmb Yatoa Msaada Wa Vifaa Mbalimbali Dodoma вђ Full Shangwe Blog Benki ya nmb kanda ya magharibi imetoa msaada wa vitanda vya kujifungulia wajawazito , kulala wagonjwa, magodoro, machela, shuka na viti vya wagonjwa katika hospitali ya halmashauri ya manispaa ya kahama mkoani shinyanga vyenye thamani ya shilingi milioni 6.7. ili kuboresha huduma za afya kwa wananchi hususani wanawake wanaofika kujifungua katika hospitali hiyo. Kwa upande wa sekta ya afya, benki hiyo pia ilitoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 12.3 katika hospitali ya wilaya ya chemba ambavyo ni pamoja na mashuka 64, vitanda vya kujifungulia vinne, vitanda vya kawaida vya wagonjwa 10, na magodoro 10 miongoni mwa vifaa hivyo kwa lengo la kuasaidia kuimarisha utoaji huduma. Benki ya nmb imetoa msaada wenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 68 kwa ajili ya kusaidia sekta za elimu na afya mkoani mara. msaada huo utazinufaisha shule 11 za msingi na sekondari (rorya na musoma) pamoja na hospitali ya kumbukumbu ya mwalimu nyer. Benki ya nmb imetoa msaada wa vitanda sita vya kujifungulia vyenye thamani ya sh5 milioni katika hospitali ya magomeni. msaada huo ni mwendelezo wa urudishaji wa faida ya benki kwa jamii ambapo tangu januari mwaka huu zaidi ya sh100 milioni zime umika kutoa misaada katika sekta ya elimu, afya na majanga mbalimbali.
Nmb Yatoa Msaada Wa Vifaa Vya Hospitali Tarime Vijij Benki ya nmb imetoa msaada wenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 68 kwa ajili ya kusaidia sekta za elimu na afya mkoani mara. msaada huo utazinufaisha shule 11 za msingi na sekondari (rorya na musoma) pamoja na hospitali ya kumbukumbu ya mwalimu nyer. Benki ya nmb imetoa msaada wa vitanda sita vya kujifungulia vyenye thamani ya sh5 milioni katika hospitali ya magomeni. msaada huo ni mwendelezo wa urudishaji wa faida ya benki kwa jamii ambapo tangu januari mwaka huu zaidi ya sh100 milioni zime umika kutoa misaada katika sekta ya elimu, afya na majanga mbalimbali.
Nmb Yatoa Msaada Wa Vifaa Tiba Katika Vituo Vya Afya Mkonoo Levo