Ultimate Solution Hub

Picha Za Mwenge Wa Uhuru Ulivyopokelewa Mkoani Iringa Mponela

Joel bendera akimkabidhi mkuu wa mkoa wa iringa dk. christine ishengoma mwenge wa uhuru katika viwanja vya ruaha mbuyuni sokoni. luteni tanu mlowezi mmoja wa wakimbiza mwenge wa uhuru 2014 akimkabidhi mwenge mkuu wa wilaya ya iringa dk. Mkoa wa iringa umepokea mwenge wa uhuru leo juni 22, 2024 kutoka mkoa wa njombe. akikabidhi mwenge huo mkuu wa mkoa wa njombe mhe. anthon mtaka amesema wameshukuru wamekimbiza mwenge salama na sasa wanakabidhi kwa mkuu wa mkoa wa iringa mhe. peter serukamba na kumtakia heri katika mbio hizo za mwenhe wa uhuru. mwenge kimkoa umepokelewa wilayani.

Amesema hayo wakati akikagua maandalizi ya uzinduzi wa mbio za mwenge wa uhuru katika uwanja wa michezo wa chuo kikuu cha ushirika moshi (mocu), mkoani kilimanjaro. aidha, naibu waziri katambi amesema kuwa mbio hizo za mwenge wa uhuru kwa mwaka huu 2024 zinaadhimisha miaka 60 tangu kuanzishwa rasmi mwaka 1964 zikienda sanjari na miaka 60 ya. Ametoa wito huo leo (jumanne aprili 2, 2024) katika sherehe za uzinduzi wa mbio za mwenge wa uhuru zilizofanyika kitaifa katika viwanja vya chuo cha ushirika moshi mkoani kilimanjaro. β€œidadi kubwa ya waathirika wa matumizi ya dawa za kulevya ni watoto na vijana wenye umri kati ya miaka 13 hadi 24. Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa 2024, ndg. godfrey eliakimu mnzava ameweka jiwe la msingi kwenye mradi wa ujenzi wa jengo la maktaba, unaoendelea ndani ya chuo kikuu cha ushirika moshi. tukio hilo limeshuhudiwa na waziri wa elimu, sayansi na teknolojia mhe. prof. adolf mkenda, katibu mkuu wa wizara hiyo prof. carolyne nombo,. Imewekwa : may 7th, 2023. mbio za mwenge wa uhuru 2023, zahitimishwa mkoani iringa. hatimaye mbio za mwenge wa uhuru 2023 zahitimishwa kukimbizwa mkoani iringa na kukabidhi mkoani morogoro. mwenge wa uhuru ulipokelewa mkoani iringa mei mosi 2023 na kukimbizwa kilometa 719 na miradi 31 yenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 63.1.

Comments are closed.