Ultimate Solution Hub

Polisi Wakamata Vitu Vilivyoibwa Na Panya Road Sasa Hivi Wamekuja Na

polisi Wakamata Vitu Vilivyoibwa Na Panya Road Sasa Hivi Wamekuja Na
polisi Wakamata Vitu Vilivyoibwa Na Panya Road Sasa Hivi Wamekuja Na

Polisi Wakamata Vitu Vilivyoibwa Na Panya Road Sasa Hivi Wamekuja Na Jumla ya wahalifu 135 wamekamatwa ndani ya siku nne jijini dar es salaam tangu kuanza kwa operesheni ya kuzia uhalifu iliyoanza septemba 15, 2022. mkuu wa mkoa wa dar es salaam (rc), amos makalla amesema wengi waliokamatwa vijana wenye umri kati ya miaka 14 na 30 waliobainika kuhusika na matukio ya uvamizi mitaani maarufu kama panya road. Polisi jijini dar es salaam wamekamata magari matatu ambayo ni toyota carina moja (t314 bvy), toyota noah (t218 bys) na toyota noah (t260 bep) pamoja na piki.

рџ ґlive polisi wakamata vitu Walivyoiba panya road Watoa Tamko Kali
рџ ґlive polisi wakamata vitu Walivyoiba panya road Watoa Tamko Kali

рџ ґlive Polisi Wakamata Vitu Walivyoiba Panya Road Watoa Tamko Kali Vijana 510 wanaodaiwa kujihusisha na vitenda vya kihalifu chini ya kundi maarufu la ‘panya road’ wamekamatwa na jeshi la polisi kanda maalum jijini dar es salaam kwa mahojiano. watuhumiwa hao wamekatwa katika mikoa ya kipolisi ya kinondoni, temeke na ilala ambapo jeshi la polisi limefanya msako mkali kuweza kuwabaini lengo likiwa ni. Rc makalla: operesheni inaendelea, dar es salaam ni shwari asema operesheni ya kukamata panya road imekuwa na mafanikio makubwa. vituo vya polisi vikubwa kwa vidogo kufanya kazi saa 24 kudhibiti uhalifu. aelekeza kila mtaa kuweka utaratibu wa kufanya kikao cha ulinzi kila wiki ya kwanza. Operesheni mpya dhidi ya ‘panya road’. jumatano, septemba 21, 2022. eneo la makongo area 4 ambako jeshi la polisi liliua watu sita wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu maarufu panya road. na mpigapicha wetu. 'panya road' 6 wauawa makongo dar , wengine 3 watoroka, polisi waeleza "walikuwa na noah'kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam acp jumanne muliro.

Comments are closed.