Ultimate Solution Hub

Prof Ndalichako Atembelewa Bungeni Na Chawa Wa Mama Kutoka Kigoma

prof Ndalichako Atembelewa Bungeni Na Chawa Wa Mama Kutoka Kigoma
prof Ndalichako Atembelewa Bungeni Na Chawa Wa Mama Kutoka Kigoma

Prof Ndalichako Atembelewa Bungeni Na Chawa Wa Mama Kutoka Kigoma Wageni wa waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu, kazi, vijana, ajira na wenye ulemavu, mhe. prof. joyce ndalichako ambao ni chawa wa mama kutoka kasulu mkoani kigoma wakiwa katika moja ya kumbi za wageni bungeni juni 5, 2023 jijini dodoma. waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu, kazi, vijana, ajira na wenye ulemavu, mhe. prof. joyce ndalichako. Kutokea wilayani kasulu, mkoani kigoma leo yamefanyika mazishi ya mama mzazi wa prof.joyce ndalichako, mary ndalichako aliyefariki dunia mei 20, katika hosptali ya taifa muhimbili. ndugu, jamaa, viongozi wa chama na serikali wakiwemo wabunge wamehudhuria mazishi hayo ya marry ndalichako aliyezaliwa mwaka 1940, huku akiwa ameacha watoto 8 na wajukuu zaidi 20.

prof Ndalichako Atembelewa Bungeni Na Chawa Wa Mama Kutoka Kigoma
prof Ndalichako Atembelewa Bungeni Na Chawa Wa Mama Kutoka Kigoma

Prof Ndalichako Atembelewa Bungeni Na Chawa Wa Mama Kutoka Kigoma Waziri wa ofisi ya waziri mkuu, kazi, vijana, ajira na wenye ulemavu, profesa joyce ndalichako kwenye picha ya pamoja na vijana waliotambulishwa kama 'chawa wa mama' kutoka kasulu mkoani kigoma walipotembelea bungeni juni 5, 2023. Prof.ndalichako akimuaga mama yake kipenzi pamoja na wana ndugu katika nyumba yake ya milele r.i.p.mary ivo ndalichako. Naunga mkono hoja prof ndalichako ni mwana taaluma na mtendaji mzuri chini ya misingi ya utu. chawa watakua wamemchukia na sasa kuna huyu nchimbi katibu mkuu ccm tutegemee machawa kushamiri. nikuhakikishie ccm chini ya ukatibu wa nchimbi itapoteza heshima kama ilivyokua chini ya makamba baba yake januari. 8. 254. prof. joyce lazaro ndalichako. @pndalichako. ·. jul 5. waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu kazi, vijana, ajira na watu wenye ulemavu, mhe. prof. joyce ndalichako ameungana na makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe. dkt. philip mpango wakati akizindua tawi la benki ya nmb wilayani buhigwe mkoani kigoma. kazi inaendelea.

Comments are closed.