Ultimate Solution Hub

Rais Magufuli Akagua Magari Ya Jeshi Yatakayotumika Kusafirisha Koroshoођ

rais magufuli akagua Maandalizi ya Sherehe Za Uwekaji Jiwe La Msingi
rais magufuli akagua Maandalizi ya Sherehe Za Uwekaji Jiwe La Msingi

Rais Magufuli Akagua Maandalizi Ya Sherehe Za Uwekaji Jiwe La Msingi Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na amiri jeshi mkuu mhe. dkt. john pombe magufuli tarehe 10 novemba, 2018 amekagua magari ya jeshi la ulinzi la wanan. Rais john magufuli magufuli amefanya ukaguzi huo katika kambi ya jeshi ya twalipo, kikosi cha usafirishaji cha 95kj mgulani jijini dar es salaam ambapo magari 7 yenye uwezo wa kubeba tani 1,500 kwa mpigo yameandaliwa kwa ajili ya kubeba korosho katika mikoa ya lindi, mtwara, ruvuma, pwani na tanga.

rais Dk magufuli akagua Ukarabati Wa Ukumbi Wa Mkutano Wa Jakaya
rais Dk magufuli akagua Ukarabati Wa Ukumbi Wa Mkutano Wa Jakaya

Rais Dk Magufuli Akagua Ukarabati Wa Ukumbi Wa Mkutano Wa Jakaya Tafadhali subscribe, share, like ili kutupa support. Amiri jeshi mkuu, rais john magufuli amekagua magari ya jeshi ya kikosi ncha usafirishaji cha 95kj ambayo yanaweza kutumika kubebea korosho katika mikoa ya lindi na mtwara. hatua hiyo inatokana na iwapo wanunuzi wa korosho hawatanunua zao hilo baada ya jumatatu ya novemba 12, 2018 jioni. About press copyright contact us creators advertise developers terms privacy press copyright contact us creators advertise developers terms privacy. Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na amiri jeshi mkuu mhe. dkt. john pombe magufuli leo tarehe 10 novemba, 2018 amekagua magari ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania (jwtz) yaliyoandaliwa kwa ajili ya kubeba korosho za wakulima endapo wanunuzi binafsi hawatatii maagizo ya serikali ifikapo jumatatu tarehe 12 novemba, 2018 saa 10:00 jioni.

Comments are closed.