Ultimate Solution Hub

Rais Samia Suluhu Hassan Ahutubia Katika Kilele Cha Maadhimis

rais samia suluhu hassan ahutubia Bunge La 12 La Jamhuri Ya Muungano W
rais samia suluhu hassan ahutubia Bunge La 12 La Jamhuri Ya Muungano W

Rais Samia Suluhu Hassan Ahutubia Bunge La 12 La Jamhuri Ya Muungano W Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe. samia suluhu hassan akishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya sheria nchini katika viwanja vya chinangali jij. Samia suluhu hassan akiwa na jaji mkuu wa tanzania ibrahim hamis juma pamoja na viongozi wengine katika picha ya pamoja na watendaji wa mahakama mara baada ya kuhutubia kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya sheria tanzania yaliyofanyika kwenye viwanja vya chinangali jijini dodoma tarehe 01 februari, 2023.

Ziara Ya Mhe rais samia suluhu hassan Wilayani Monduli Habari Mpya
Ziara Ya Mhe rais samia suluhu hassan Wilayani Monduli Habari Mpya

Ziara Ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan Wilayani Monduli Habari Mpya Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe. samia suluhu hassan akiangalia uzalishaji wa miche pamoja na bidhaa mbalimbali zitokanazo na kilimo wakati alipotembelea banda la taasisi ya utafiti wa kilimo (tari) na banda la taasisi ya kudhibiti ubora wa mbegu tanzania (tosci) kwenye kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya wakulima nanenane kitaifa ambayo imefanyika katika viwanja vya john. Kauli hiyo imetolewa na rais wa tanzania samia suluhu hassan wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya sheria nchini tanzania kilichofanyika jijini dodoma yaliyopo makao makuu ya chama na. Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt,samia suluhu hassan akizungumza na maelfu ya wananchi na wanachama wa ccm (hawapo pichani) kwenye uwanja wa azimio wilaya ya mpanda mkoani katavi kwenye kilele cha wiki ya wazazi julai 13,2024. Na rais samia suluhu hassan, dar es salaam, tanzania. kilele cha maadhimisho ya jubilei ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa jumuiya ya wanawake wakatoliki tanzania (wawata), kilikuwa ni hapo dominika tarehe 11 septemba 2022 kwenye uwanja wa benjamin mkapa, jijini dar es salaam kwa ibada ya misa takatifu, ambayo imeongozwa na askofu mkuu yuda thaddeus ruwa’ichi wa jimbo kuu la dar es salaam.

Comments are closed.