Njia Rahisi Ya Kuondoa Harufu Mbaya Ukeni Youtube Kama mkojo wako una harufu kali basi hakikisha unakunywa maji ya kutosha maana ni kiashiria kwamba umeishiwa maji. maambukizi ya bakteria: sababu ya pili ni kwamba kuna shida ya maambukizi na unahitaji vipimo na tiba ya mapema. endapo unapata dalili zingine kama muwasho ukeni, maumivu wakati wa kukojoa, harufu mbaya inayonuka na uchafu wa. Kuoza harufu ya uke. sababu ya harufu ya uke iliyooza inaweza kuwa kisodo kilichowekwa vibaya. mbali na kutokwa na uchafu ukeni ambao ni wa manjano, kijani kibichi, waridi, kijivu au kahawia, unaweza kupata dalili za ziada. hizi ni pamoja na: homa. kuwasha kwa muda mrefu. mkojo usiovu.
Sababu Za Kutoka Harufu Mbaya Ukeni Na Namna Ya Kujikinga The Sababu za uke kutoa harufu mbaya: zipo sababu nyingi zinazopelekea mwanamke kutokwa na harufu mbaya ukeni, baadhi ya sababu hizo ni pamoja na; a) magonjwa ya zinaa (sexually transmitted diseases). mfano wa magonjwa ya zinaa ni pamoja na kisonono, kaswende, trichomoniasis n.k. magonjwa haya yasipotibiwa kwa wakati hupelekea mwanamke kutoa harufu. 3) sabuni maalum ya ukeni. ikiwa unahisi unahitaji kutumia sabuni, chagua sabuni ya ukeni iliyoundwa kwa ajili hiyo. sabuni hizi zina ph inayofanana na uke na zinafaa zaidi kuliko sabuni za kawaida. 4) usifanye douche. epuka kutumia douches au maji ya kuosha ukeni, kwani zinaweza kusababisha mabadiliko ya ph na kusababisha maambukizi. 5) kauka. Kutoa harufu mbaya ukeni huweza kuambatana na dalili zingine kama vile; miwasho sehemu za siri, hisia za kuungua sehemu za siri, michomo na kutokwa uchafu sehemu za siri. sababu za uke kutoa harufu mbaya: zipo sababu nyingi zinazopelekea mwanamke kutokwa na harufu mbaya ukeni, baadhi ya sababu hizo ni pamoja na;. Kutoa harufu mbaya ukeni: kutokwa na harufu mbaya ukeni ni tatizo linalowasumbua wanawake wengi duniani, hususani wakati wa tendo la ndoa. kutokwa na harufu mbaya ukeni kwa kiasi kikubwa husababishwa na fangasi wa candida albicans, japo sio kila mara ndio maana kuna umuhimu wa kutafuta chanzo cha tatizo la kunuka uke.