Ultimate Solution Hub

Sala Ya Nguvu Ya Zaburi Ya 25 Kuomba Rehema Kwa Mungu Na Kujikinga

Sala ya nguvu ya zaburi ya 25 kuomba rehema kwa mungu na kujikinga na maadui apostle johaness john#sala #yesu #mungu #apostlejohanessjohn #johanessjohn. 1 ee mungu, sisi tumesikia kwa masikio yetu, wazee wetu wametusimulia. mambo uliyotenda nyakati zao, naam, mambo uliyotenda hapo kale: 2 kwa mkono wako mwenyewe uliyafukuza mataifa mengine, na mahali pao ukawakalisha watu wako; uliyaadhibu mataifa mengine, na kuwafanikisha watu wako. 3 watu wako hawakuitwaa nchi kwa silaha zao,.

Kwa sababu, ukimkiri yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. —warumi 10: 9 10 (biblia takatifu) unapogundua umekosea wapaswa kuomba rehema kwa maana ya msamaha na siyo toba. Sala ya kuomba rehema. wafu hawamusifu mungu (5) mungu anasikia sala za kuomba rehema (9) 7. yehova ni muamuzi mwenye haki “unihukumu, ee yehova” (8) 8. utukufu wa mungu na heshima ya mwanadamu “jina lako ni lenye utukufu sana!” (1, 9) ‘mwanadamu mwenye anaweza kufa ni nini?’ (4) mwanadamu anavalishwa taji la utukufu (5) 9. 19. uumbaji wa mungu na sheria yake hutoa ushahidi. ‘mbingu hutangaza utukufu wa mungu’ (1) sheria kamilifu ya mungu hurudisha nguvu (7) “dhambi nisizojua” (12) 20. wokovu kwa ajili ya mfalme mtiwa mafuta wa mungu. wengine hutegemea magari ya vita na farasi, “lakini sisi tunaliitia jina la yehova” (7) 21. Kwa macho yako mwenyewe utaangalia, na kuona jinsi watu waovu wanavyoadhibiwa. wewe umemfanya mwenyezi mungu kuwa kimbilio lako; naam, mungu aliye juu kuwa kinga yako. kwa hiyo, hutapatwa na maafa yoyote; nyumba yako haitakaribiwa na baa lolote. maana mungu atawaamuru malaika zake, wakulinde popote uendapo.

Comments are closed.