Ultimate Solution Hub

Sifa Za Muumini Wa Kweli Youtube

Sifa za muumini wa kweli ust.maulidi adam shaaban (muislamu anajulikana kwa muonekano wake wa kipekee utaujua kupitia kipindi hichi)#alistiqamatv2. Muhadhara uliyotolewa na sheikh nurdeen kishk msikiti mkuu wa malkazi bujumbura nchini burundi tarehe 16 04 2011 . mada ikielezea sifa tano za waumini wa kw.

Sifa za muislamu kweli na muumini wa kweli sifa za mwenyekuhama sheikh walid alhad omarmashaa allah sheikh walid bin sheikh alhad omar akielezea kwa uz. 4. hao ndio waumini wa haki. hao wana vyeo kwa mola wao mlezi, na maghfira na riziki ya ukarimu. quran ( surah al anfal, mstari wa 2 4) ni wazi kutoka kwa aya hizi kwamba sifa za kweli muslim zilizotajwa katika aya hizi ni zifuatazo: wakati mwenyezi mungu inatajwa, wanahisi kumcha katika nyoyo zao; zao imani inaongezeka kila wanaposikia na. Sifa za waumini. i) wana yakini kuwa allah (s.w) yupo. waumini wa kweli huwa na yakini nyoyoni mwao juu ya kuwepo allah (s.w) na mtume wake. yaani wanashuhudia kwa dhati nyoyoni mwao kuwa allah (s.w) ni mola wao pekee na muhammad (s.a.w) ni mtume wake wa mwisho na katika matendo yao yote huishi kwa kufuata mwongozo wa mwenyezi mungu na mtume. Muumini wa kweli hutekeleza pasina kusita ile amri ya allah (s.w) ya katazo kuwa: wala usiikaribie zinaa; kwa hakika huo ni uchafu na ni njia mbaya kabisa. (17:32) (vi)huwa muaminifu waumini wa kweli waliofuzu huchunga amana. hutunza amana aliyopewa na kuirejesha au kuitumia kwa mujibu wa maelekezo ya mwenyewe.

Comments are closed.