Hii Leo Juni 16 Tanzania Inaungana Na Mataifa Mengine Kimataifa Kauli mbiu ya mwaka huu ni “maendeleo endelevu 2030: imarisha ulinzi na fursa sawa kwa watoto” kauli mbiu hii inawataka wazazi, walezi, serikali na wadau wengine kuzingatia wajibu wetu katika kuimarisha mifumo ya ulinzi na maendeleo ya mtoto ili aweze kudhibiti changamoto ya ongezeko la vitendo vya ukatili nchini pamoja na kutoa haki sawa. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “maendeleo endelevu 2030: imarisha ulinzi na fursa sawa kwa watoto” ikiwa na lengo la kuwakumbusha wazazi, walezi, serikali na wadau wengine kuzingatia wajibu wetu katika kuimarisha mifumo ya ulinzi na maendeleo ya mtoto ili aweze kudhibiti changamoto ya ongezeko la vitendo vya ukatili nchini pamoja na kutoa haki.
Siku Ya Mtoto Wa Afrika вђњmaendeleo Endelevu 2030 Imar Friday 2nd, august 2024. @kiwilaya: kata ya chakwale. siku ya mtoto wa afrika huadhimishwa tarehe 16. juni kila mwaka. wilaya ya gairo itaungana na wilaya nyingine nchi nzima na nchi zingine za afrika kuadhimisha siku ya mtoto wa afrika. chimbuko la maadhimisho haya ni azimio lililopitishwa na uliokuwa umoja wa nchi huru za afrika (oau) mwaka. Mwaka huu nchini tanzania kutafanyika maadhimisho ya siku ya mtoto wa afrika yaliyoandaliwa na serikali kupitia wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto kwa kushirikiana na wadau wengine ikiwa imebeba kauli mbiu isemayo “maendeleo endelevu 2030: imarisha ulinzi na fursa sawa kwa watoto”. Siku ya mtoto wa afrika. friday 2nd, august 2024. @viwanja vya jakaya m. kikwete youth park. kila mwaka tarehe 16 juni tanzania inaungana na nchi zingine za afrika kuadhimisha siku ya mtoto wa afrika. chimbuko la maadhimisho haya ni azimio lililopitishwa na uliokuwa umoja wa nchi huru za afrika (oau) mwaka 1990 kwa lengo la kuwakumbuka watoto. Kaulimbi kwa siku ya mtoto wa afrika kwa mwaka huu ni maendeleo endelevu 2030: imarisha ulinzi na haki sawa kwa watoto. siku ya mtoto wa afrika huadhimishwa duniani kwa lengo la kutambua thamani, utu , na umuhimu wa mtoto duniani na maadhimisho haya hufanywa kila juni 16 tangu ilipotangazwa kuwa siku rasmi mwaka 1991 na umoja wa afrika (eu).