Ultimate Solution Hub

Simba Yakaza Hasa Kulinda Heshima Ya Taifa Yatoka Sare Na Waarabu Al

simba Yakaza Hasa Kulinda Heshima Ya Taifa Yatoka Sare Na Waarabu Al
simba Yakaza Hasa Kulinda Heshima Ya Taifa Yatoka Sare Na Waarabu Al

Simba Yakaza Hasa Kulinda Heshima Ya Taifa Yatoka Sare Na Waarabu Al Klabu ya simba imefanikiwa kutoka sare ya 2 2 katika uwanja wake wa nyumbani dhidi ya timu ya al ahly ya nchini misri katika mchezo wa robo fainali michuano ya african football league. katika mchezo huo ambao ulikuwa wa ufunguzi, al ahly ilifanikiwa kupata bao kipindi cha kwanza kabla ya mapumziko kupitia kwa mshambuliaji wao reda slim na. Africa nzima inayo hii habari. timu tishio katika michuano ya club bigwa africa inakutana na timu nzito tp mazembe,zikiwa ni timu pekee afrika mashariki na kati katika hatua ya robo fainali. tulia hapa jf utapata kila kitu katika mtanange huu unaopigwa uwanja wa taifa view attachment 1064060 dua.

Siri ya simba kulinda Uwanja Wa taifa Yafichuka Mzaramo Asema waarabu
Siri ya simba kulinda Uwanja Wa taifa Yafichuka Mzaramo Asema waarabu

Siri Ya Simba Kulinda Uwanja Wa Taifa Yafichuka Mzaramo Asema Waarabu Hisia zangu: stori ya mayele na simba ilikuwa na maana gani? na baada ya shuti la aziz ki kuleta utata pale loftus, ardhi ya pretoria, pambano jingine la timu nyingine ya kariakoo likaanza katika uwanja mwingine ulipo afrika kaskazini. al ahly dhidi ya simba katika uwanja wa taifa wa misri. simba walikuwa wanadaiwa bao pekee ambalo lilikuwa. Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya simba kimeliambia mwanaspoti viongozi wote wa bodi ya simba wametii wito wa kiongozi wao ambaye ndiye aliyewateua. “hadi sasa wajumbe wote wamejiuzulu kama mambo yataenda sawa kesho au keshokutwa barbara gonzalez atatangazwa kuwa mwenyekiti huku ceo anatafutwa,” kimesema chanzo hicho na. Hayo matokeo mabaya ambayo imepata ni ajali kazini kwa hiyo tunajua tunakutana na timu ya namna gani," alisema maxime. mwananchi. fikiri tofauti. simba itarejea katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi leo ikiwa itaibuka na ushindi dhidi ya ihefu katika uwanja wa liti, singida kwenye mchezo utakaopigwa kuanzia saa 10 jioni. Simba leo wamelazimisha sare kwenye mchezo wao wa kwanza wa hatua ya robo fainali wakiwa nyumbani mbele ya tp mazembe kwa kutoka suluhu bila kufungana katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam.ofisa habari wa simba, haji manara ametuma ujumbe kwa.

Comments are closed.