Ultimate Solution Hub

Sisi Tumekwisha Kuwasha Mwenge

sisi Tunataka kuwasha mwenge Na Kuuweka Mlima Kilimanjaro Michuzi
sisi Tunataka kuwasha mwenge Na Kuuweka Mlima Kilimanjaro Michuzi

Sisi Tunataka Kuwasha Mwenge Na Kuuweka Mlima Kilimanjaro Michuzi Nyerere alimuagiza sheikh yahya hussein atafsiri maana ya ile namba 115 aliyokuwa ameiandika mkononi forojo akamwambia: “namba 115 maana yake utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,” na ndivyo ilivyokuwa. mwaka 1999 mwalimu nyerere alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na. “ndio maana oktoba 1959 mwalimu nyerere alitamka namnukuu, ‘sisi watanganyika tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu ulete matumaini pale ambapo hakuna matumaini, upendo pale ambapo pana chuki, heshima ambapo pamejaa dharau’,” amesema magufuli.

Mwenye Uwezo sisi Twakutambua Msanii Music Group Youtube
Mwenye Uwezo sisi Twakutambua Msanii Music Group Youtube

Mwenye Uwezo Sisi Twakutambua Msanii Music Group Youtube Maadhimisho ya kilele cha mbio za mwenge wa uhuru mkoani dar es salaam desemba 1, 2011. Leo mbio za mwenge zimeanza tena. mwenge huu ulipowashwa kwa mara ya kwanza na kuwekwa kwenye kilele cha mlima kilimanjaro na alex nyirenda ulikuwa ni ishara, ulikuwa ni alama (a sign and a symbol) ya sisi kama taifa na matamanio ya uhuru wetu. ulipowashwa wakati ule tulitangaza kwa matumaini kuwa: sisi tumekwisha kuwasha mwenge na kuuweka juu. Mheshimiwa spika, ni kweli kwamba tarehe 9 desemba mwaka 1961, baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere, alisema nanukuu; “sisi tumekwisha uwasha mwenge wa uhuru na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro, umulike ndani na nje ya mipaka yetu, ulete matumaini pale ambapo hakuna matumaini, ulete upendo mahali penye chuki na heshima palipojaa. Jamhuri ya muungano wa tanzania. ofisi ya waziri mkuu. sera, bunge, kazi, vijana, ajira na wenye ulemavu. makala kuhusu falsafa, dhana na umuhimu wa mbio za mwenge wa uhuru. falsafa ya mwenge wa uhuru. historia ya nchi yetu ni pana na ya kuvutia kwa namna ya pekee ukilinganisha na nchi nyingi za afrika na duniani kote.

Mwenye Uwezo sisi Twakutambua Youtube
Mwenye Uwezo sisi Twakutambua Youtube

Mwenye Uwezo Sisi Twakutambua Youtube Mheshimiwa spika, ni kweli kwamba tarehe 9 desemba mwaka 1961, baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere, alisema nanukuu; “sisi tumekwisha uwasha mwenge wa uhuru na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro, umulike ndani na nje ya mipaka yetu, ulete matumaini pale ambapo hakuna matumaini, ulete upendo mahali penye chuki na heshima palipojaa. Jamhuri ya muungano wa tanzania. ofisi ya waziri mkuu. sera, bunge, kazi, vijana, ajira na wenye ulemavu. makala kuhusu falsafa, dhana na umuhimu wa mbio za mwenge wa uhuru. falsafa ya mwenge wa uhuru. historia ya nchi yetu ni pana na ya kuvutia kwa namna ya pekee ukilinganisha na nchi nyingi za afrika na duniani kote. Huu si wimbo mwingine, bali ni wimbo ambao ulihusu alama kubwa sana ya taifa letu: mwenge wa uhuru. wimbo ulikwenda namna hii: “sisi tumekwisha uwasha mwenge, tumekwisha uwasha mwenge. na kuuweka juu ya mlima, mlima kilimanjaro. kuwasha mwenge, kuwasha mwenge na kuuweka kilimanjaro; kuwasha mwenge, kuwasha mwenge na kuuweka kilimanjaro.” naam. Mnajimu maarufu ambaye sasa ni marehemu, sheikh yahya hussein aliwahi kusema na ikaandikwa kwamba mvumbuzi wa wazo la kuwa na mwenge wa uhuru ni forojo ganze ambaye alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru mjini bagamoyo mkoani pwani. forojo ganze aliyezaliwa mwaka 1902 alifuatana na wazee wengine kwenda.

kuwasha mwenge Wa Matumaini Kupitia Sanaa Tamaduni Anuai Redio
kuwasha mwenge Wa Matumaini Kupitia Sanaa Tamaduni Anuai Redio

Kuwasha Mwenge Wa Matumaini Kupitia Sanaa Tamaduni Anuai Redio Huu si wimbo mwingine, bali ni wimbo ambao ulihusu alama kubwa sana ya taifa letu: mwenge wa uhuru. wimbo ulikwenda namna hii: “sisi tumekwisha uwasha mwenge, tumekwisha uwasha mwenge. na kuuweka juu ya mlima, mlima kilimanjaro. kuwasha mwenge, kuwasha mwenge na kuuweka kilimanjaro; kuwasha mwenge, kuwasha mwenge na kuuweka kilimanjaro.” naam. Mnajimu maarufu ambaye sasa ni marehemu, sheikh yahya hussein aliwahi kusema na ikaandikwa kwamba mvumbuzi wa wazo la kuwa na mwenge wa uhuru ni forojo ganze ambaye alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru mjini bagamoyo mkoani pwani. forojo ganze aliyezaliwa mwaka 1902 alifuatana na wazee wengine kwenda.

Comments are closed.