Ultimate Solution Hub

Suluhisho La Uke Mkavu Na Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoabamia Mabenda

suluhisho la uke mkavu na maumivu wakati wa tendo
suluhisho la uke mkavu na maumivu wakati wa tendo

Suluhisho La Uke Mkavu Na Maumivu Wakati Wa Tendo Hoja hii hatukuitaja kwenye sababu za awali zinazochangia kutokea kwa changamoto ya ukavu wa uke. maandalizi kabla ya kushiriki tendo la ndoa yanaweza pia kumfanya mwanamke awe na uke laini au mkavu wakati wa kushiriki tendo la ndoa. sio kila mwanamke mwenye ukavu huwa na changamoto kiafya. wengine huwa hawaandaliwi vizuri. 3.kutolewa mifuko ya mayai ( ovaries) 4.dawa zinazozuia uzalishwaji wa hormone ya estrogen kwa watu wenye tatizo la uvimbe kwenye kizazi, (fibroids na endometriosis) sababu nyingine za uke kuwa mkavu ni: sjogren syndrome ,huu ni ugonjwa ambao kinga ya mwili inaharibu cell zinazotengeneza huu unyevunyevu.

Tiba Ya uke mkavu Sana maumivu wakati wa tendo Kutoka Damu Kukos
Tiba Ya uke mkavu Sana maumivu wakati wa tendo Kutoka Damu Kukos

Tiba Ya Uke Mkavu Sana Maumivu Wakati Wa Tendo Kutoka Damu Kukos Kwanza ni maumivu wakati wa tendo ambayo ndiyo hayo tuliyoyaona hapo juu na maumivu baada ya tendo. kuumia wakati wa tendo maumivu haya hutokea pale uume unapoanza kuingia ukeni na hutokana na uke kuwa mkavu. hili linaweza kusababishwa na maandalizi duni kabla ya tendo, matatizo katika mfumo wa homoni au kupoteza msisimko na hamu ya tendo. Uke mkavu baada ya kujifungua. mwili wako unapitia mabadiliko makubwa sana wakati wa ujauzito. hata baada ya kuzaa kuna mabadiliko utaendelea kuyaona kwenye afya yako ya uzazi. moja ya mabadiliko unayoweza kuyapata ni uke mkavu baada ya kujifungua. wanawake wengi hupatwa na tatizo hili na hivo kuwafanya washindwe kufurahia tendo la ndoa kwani. Tishu za uke zinakuwa nyembamba na kusinyaa. hali hii hupelekea maumivu kwenye tendo la ndoa, kukosa uhuru na pia kutokwa damu. ukavu kwenye uke. uke kuwa mkavu ni sababu ingine ya kutokwa damu baada ya tendo la ndoa kwa mwanamke. uke mkavu unaweza kusababishwa ana vitu hivi. kunyonyesha. upasuaji wa kuondoa mifuko ya mayai. Namna ya kukabili maumivu wakati wa tendo la ndoa. kuna mambo yanayochangia maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa kwa wanawake. ikumbukwe kuwa dalili kubwa ya tatizo hili ni mwanamke kuhisi maumivu wakati au baada ya tendo la ndoa. tatizo hili linaweza kuambata na kukaamaa kwa misuli ya maeneo ya ukeni na kuwa na hali ya ukavu.

Je Mwanamke una Ukosefu wa Hamu Ya Kufanya Mapenzi Low Libido In Women
Je Mwanamke una Ukosefu wa Hamu Ya Kufanya Mapenzi Low Libido In Women

Je Mwanamke Una Ukosefu Wa Hamu Ya Kufanya Mapenzi Low Libido In Women Tishu za uke zinakuwa nyembamba na kusinyaa. hali hii hupelekea maumivu kwenye tendo la ndoa, kukosa uhuru na pia kutokwa damu. ukavu kwenye uke. uke kuwa mkavu ni sababu ingine ya kutokwa damu baada ya tendo la ndoa kwa mwanamke. uke mkavu unaweza kusababishwa ana vitu hivi. kunyonyesha. upasuaji wa kuondoa mifuko ya mayai. Namna ya kukabili maumivu wakati wa tendo la ndoa. kuna mambo yanayochangia maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa kwa wanawake. ikumbukwe kuwa dalili kubwa ya tatizo hili ni mwanamke kuhisi maumivu wakati au baada ya tendo la ndoa. tatizo hili linaweza kuambata na kukaamaa kwa misuli ya maeneo ya ukeni na kuwa na hali ya ukavu. 6. mwanamke kupatwa na maambukizi katika via vyake vya uzazi yaani pelvic inflammatory disease (pid) dalili za tatizo la mwanamke kuwa na uke mkavu. • kupatwa na maumivu makali wakati wa kufanya mapenzi. • kupatwa na maumivu ya kiuno baada ya kufanya mapenzi. • kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa,hiki ni kiashiria cha uke mkavu,pamoja. Uke kuwa mkavu, hisia hanazo nyingi, wakati wa hedhi shida tupu tatizo kubwa zaidi anadaka mimba zinatoka to. sometimes anaweza jikuta na dalili zote za kuwa mama kijacho lkn ghafla hali hyo hutoweka. hormone imbalance ni tatizo sana. hizo mimba kutoka zikiwa changa sana mara nyingi ni kushuka kwa progesterone hormone ambayo ndio hushikilia.

Comments are closed.