Ultimate Solution Hub

Tazama Mwenge Wa Uhuru 2024 Ulivyowasili Mtwara Kuanza Rasmi Kukagua Miradi

Single News Ikungi District Council
Single News Ikungi District Council

Single News Ikungi District Council Mkuu wa mkoa wa dar es salaam albert chalamila, leo mei 7, 2024 amesema mkoa huo unatarajia kupokea mwenge wa uhuru utakaowasili mei 08, 2024 mkoani humo, utapitia miradi 39 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 479.6 huku ukikimbizwa kwa takribani kilomita 427.78. rc chalamila ametoa kauli hiyo leo mei 07, 2024 jijini dar es. About press copyright contact us creators advertise press copyright contact us creators advertise.

Single News Mwanza Region
Single News Mwanza Region

Single News Mwanza Region Mkuu wa mkoa wa dar es salaam albert chalamila leo mei 08, 2024 amepokea mwenge wa uhuru kutoka mkoa wa pwani katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwl jk nyerere terminal i. akiongea wakati wa makabidhiano hayo rc chalamila amesema mbio za mwenge wa uhuru katika mkoa huo zitakimbizwa umbali wa km 427.78, kupitia miradi ya maendeleo 39 yenye. Sherehe za uzinduzi wa mbio za mwenge wa uhuru #mwenge #makonda (@millardayotza @wasafi media @globaltv online @tbc online @ikulutanzania255 @ktnnews kenya @. Sijawa omary, mtwara may 30, 2024. mtwara: miradi 62 ya maendeleo itapitiwa na mwenge wa uhuru mkoani mtwara yenye thamani ya zaidi ya sh bilioni 30 mwaka 2024. akizungumza leo mkoani mtwara baada ya kuwasili kwa mwenge huo wa uhuru ukitokea mkoani lindi, mkuu wa mkoa wa mtwara, kanali patrick sawala amesema mwenge utakimbizwa katika njia zenye. Utapita ila kukagua miradi na kuzindua. mwenge wa uhuru mwaka huu wa 2024, umebeba kauli mbiu inayolenga kutoa elimu kwa wananchi kuhusu “uhifadhi wa mazingira na uchaguzi wa serikali za mitaa” vilevile ujumbe wa kudumu wa mbio za mwenge katika mapambano dhidi ya vvu ukimwi, malaria, dawa za kulevya, lishe pamoja na rushwa.

Comments are closed.