tmda watoa elimu Kwa Wanafunzi Wa Sekondari Rufiji Juu ya Matumizi
Tmda Watoa Elimu Kwa Wanafunzi Wa Sekondari Rufiji Juu Ya Matumizi Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya dawa na vifaa tiba (tmda), adam fimbo, akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya 48 ya kimataifa ya biashara (sabasaba), yanayoendelea katika viwanja vya mwalimu julius kambarage nyerere jijini dar es salaam. na: mwandishi wetu mamlaka ya dawa na vifaa tiba (tmda), imetoa wito kwa wananchi kuendelea kuzingatia matumizi […]. Mkaguzi wa dawa mwandamizi mamlaka ya dawa na vifaa tiba (tmda) kanda ya kati dodoma benedict brashi (katikati), akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la mamlaka hiyo, kwenye maonesho ya nane nane yanayofanyika kitaifa jijini humo. (kuskoto), ni meneja uhusiano wa tmda gaudencia simwanza, na (kulia), ni hasna mndeme, afisa wa tmda makao makuu, dodoma. mkaguzi […].
Habari Picha tmda Yaendelea Kutoa elimu Maonesho ya Sabasaba Habari
Habari Picha Tmda Yaendelea Kutoa Elimu Maonesho Ya Sabasaba Habari Atika kufikisha elimu kwa jamii mamlaka ya dawa na vifaa tiba nchini tmda kanda ya magharibi imeshiriki katika kongamano la kimataifa na maonesho ya biashara ya nchi zilizo jirani na ziwa tanganyika, ili kutoa elimu juu ya majukumu ya mamlaka hiyo. maonyesho hayo yaliyofanyika mkoani kigoma na kushirikisha nchi za burundi, congo drc, rwanda,. Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya dcea inaendelea kuelimisha jamii juu ya tatizo la dawa za kulevya kwa lengo la kuhakikisha jamii inakuwa na uelewa sahihi dhidi ya athari zinazotokana na matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya. elimu hii inatolewa na maafisa wa mamlaka waliofika katika maadhimisho na maonesho ya. Home local tmda yatoa elimu kwa wananchi matumizi ya dawa bandia sabasaba. tmda yatoa elimu kwa wananchi matumizi ya dawa bandia sabasaba. by. hughes dugilo july 11. Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (tmda) wameweka kambi katika wilaya ya kibiti kutoa elimu ya matumizi sahihi ya dawa kwa wanafunzi wa sekondari. ofisa uhusiano wa tmda scolastica njozi amesema lengo la kuweka kambi katika wilaya hiyo ni kutoa elimu kwa umma kuhusiana na matumizi sahihi ya dawa na vifaa tiba na kwamba wamelenga kuzifikia shule za.