Tmda Yatoa Elimu Ya Matumizi Sahihi Ya Dawa Kwa Shul Simu: 255 232334655 barua pepe: [email protected]. kanda ya magharibi. jengo la tuwasa, s.l.p 520, tabora simu 255 262606082 barua pepe: [email protected]. tmda hulinda afya ya jamii. mamlaka ya dawa na vifaa tiba. tanzania medicines & medical device authority. matumizi sahihi ya dawa: vijiuasumu (antibiotics) utangulizi. Mkaguzi wa dawa mwandamizi mamlaka ya dawa na vifaa tiba (tmda) kanda ya kati dodoma benedict brashi (katikati), akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la mamlaka hiyo, kwenye maonesho ya nane nane yanayofanyika kitaifa jijini humo. (kuskoto), ni meneja uhusiano wa tmda gaudencia simwanza, na (kulia), ni hasna mndeme, afisa wa tmda makao makuu, dodoma. mkaguzi […].
Tmda Yatoa Elimu Ya Matumizi Sahihi Ya Dawa Morogoro About press copyright contact us creators advertise developers terms privacy press copyright contact us creators advertise developers terms privacy. Elimu juu ya matumizi sahihi ya dawa katika shule ya sekondari nzuguni mkoani dodoma. Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (tmda), imetoa wito kwa wananchi kuendelea kuzingatia matumizi sahihi ya dawa na kuacha kutumia bidhaa hiyo kiholela bila kufuata maelekezo na ushauri wa wataalamu. kauli hiyo imetolewa na mkurugenzi mkuu wa tmda, adam fimbo kwenye maonesho ya 48 ya kimataifa ya biashara (sabasaba), yanayoendelea katika viwanja vya. Afisa mwandamizi elimu kwa umma wa mamlaka ya dawa na vifaa tiba (tmda), kanda ya kati james ndege, akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari dk. salmin iliyopo manispaa ya singida wakati akitoa elimu ya namna bora ya matumizi ya dawa, vifaa tiba na vitendanishi yaliyofanyika leo mei 4, 2023.
Tmda Yatoa Elimu Ya Utoaji Taarifa Madhara Na Matukio Yatokanayo Na Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (tmda), imetoa wito kwa wananchi kuendelea kuzingatia matumizi sahihi ya dawa na kuacha kutumia bidhaa hiyo kiholela bila kufuata maelekezo na ushauri wa wataalamu. kauli hiyo imetolewa na mkurugenzi mkuu wa tmda, adam fimbo kwenye maonesho ya 48 ya kimataifa ya biashara (sabasaba), yanayoendelea katika viwanja vya. Afisa mwandamizi elimu kwa umma wa mamlaka ya dawa na vifaa tiba (tmda), kanda ya kati james ndege, akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari dk. salmin iliyopo manispaa ya singida wakati akitoa elimu ya namna bora ya matumizi ya dawa, vifaa tiba na vitendanishi yaliyofanyika leo mei 4, 2023. Aidha, ametoa wito kwa wananchi kuendelea kutembelea kwenye banda lao kupata elimu ya udhibiti na matumizi sahihi ya dawa awa na vitenganishi. “tunawakaribisha wananchi wote wanaotembelea sabasaba wapite banda la tmda ili wajionee shughuli tunazofanya lakini pia tuwape ushauri kuhusu matumizi sahihi ya dawa ili kuepuka madhara,” amesema fimbo. Kwa taarifa hii, tmda inawaelekeza waingizaji, wauzaji, wasambazaji wote wa dawa na umma kwa ujumla, kuacha kuweka matangazo yoyote ya dawa zinazotolewa kwa cheti cha daktari kwenye mitandao hiyo na kuhakikisha kuwa matangazo ya dawa yanayotolewa yanakuwa na taarifa za matumizi sahihi ya dawa na yameidhinishwa na mamlaka kutumika kutangaza dawa.
Tmda Yatoa Elimu Ya Matumizi Sahihi Ya Dawa Morogoro Aidha, ametoa wito kwa wananchi kuendelea kutembelea kwenye banda lao kupata elimu ya udhibiti na matumizi sahihi ya dawa awa na vitenganishi. “tunawakaribisha wananchi wote wanaotembelea sabasaba wapite banda la tmda ili wajionee shughuli tunazofanya lakini pia tuwape ushauri kuhusu matumizi sahihi ya dawa ili kuepuka madhara,” amesema fimbo. Kwa taarifa hii, tmda inawaelekeza waingizaji, wauzaji, wasambazaji wote wa dawa na umma kwa ujumla, kuacha kuweka matangazo yoyote ya dawa zinazotolewa kwa cheti cha daktari kwenye mitandao hiyo na kuhakikisha kuwa matangazo ya dawa yanayotolewa yanakuwa na taarifa za matumizi sahihi ya dawa na yameidhinishwa na mamlaka kutumika kutangaza dawa.
Tmda Yatoa Elimu Ya Matumizi Ya Madhara Ya Madawa Katika S