Ultimate Solution Hub

Twcc Yazindua Tuzo Za Wanawake Wajasiriamali Mtanzania

twcc Yazindua Tuzo Za Wanawake Wajasiriamali Mtanzania
twcc Yazindua Tuzo Za Wanawake Wajasiriamali Mtanzania

Twcc Yazindua Tuzo Za Wanawake Wajasiriamali Mtanzania Mtanzania twcc yazindua tuzo za wanawake wajasiriamali mwandishi wetu, dar es salaam. chama cha wanawake wafanyabiashara tanzania (twcc), kimezindua tuzo za wanawake waliofanya vizuri zaidi kwa mwaka 2020 katika sekta za viwanda na biashara zenye lengo la kutambua na kuheshimu wanawake waliofanikiwa na wale wanaochipukia katika sekta za viwanda na biashara. Chama cha wanawake wafanyabiashara tanzania (twcc) kwa mara nyingine inaandaa tuzo za viwanda kwa wanawake wajasiriamali tanzania.( tanzania women industrial awards 2023) walengwa 1. wanawake wajasiriamali na wafanyabiashara. 2. wamiliki wa biashara iliyorasimishwa. sifa za ushiriki 1. mmiliki mwanamke kwenye biashara angalau kwa 50% 2.

twcc yazindua tuzo za wanawake Waliofanya Vizuri 2020 Tupashane
twcc yazindua tuzo za wanawake Waliofanya Vizuri 2020 Tupashane

Twcc Yazindua Tuzo Za Wanawake Waliofanya Vizuri 2020 Tupashane Mwenyekiti wa twcc, jacquiline maleko amezindua tuzo hizo leo jijini dar es salaam, mbele ya waandishi wa habari na kusema zoezi la usajili kwa ajili ya tuzo hizo ni bure na limefunguliwa septemba 9,2020 na pia zitawahusu wanawake wote wajasiliamali hata ambao sio wanachama wa twcc. Sh4 bilioni zatengwa kuwawezesha wanawake wajasiriamali. mwenyekiti wa chemba ya wanawake wafanyabiashara tanzania (twcc) mercy sila akizungumzia tuzo za wanawake wajasiriamali zinazotarajiwa kutolewa na taasisi hiyo machi 16, 2024. katikati ni mkurugenzi mkazi wa trademark afrika elibariki shammy na mkurugenzi wa twcc mwajuma hamza. Tanzania women chambers of commerce ( twcc) imeandaa tuzo maalum kwa wanawake wajasiriamali nchini, tuzo hizi zinatolewa leo tarehe 9 03 2022 katika ukumbi w. Live: mkutano wa mwezi wa twcc na uzinduzi wa tuzo za viwanda kwa wanawake wajasiriamali tz 2022.

Comments are closed.