Ultimate Solution Hub

Ufugaji Bora Wa Nguruwe Kibiashara Utunzaji Na Faida Za Kufuga Nguruwe

ufugaji Bora Wa Nguruwe Kibiashara Utunzaji Na Faida Za Kufuga Nguruwe
ufugaji Bora Wa Nguruwe Kibiashara Utunzaji Na Faida Za Kufuga Nguruwe

Ufugaji Bora Wa Nguruwe Kibiashara Utunzaji Na Faida Za Kufuga Nguruwe Vitu vya kuzingatia katika ufugaji wa nguruwe. 1. banda la ufugaji wa nguruwe. nguruwe wanahitaji kuwa na banda lililojengwa kwa vifaa nafuu unaweza kutumia mchanga na simenti kuweka sakafu, ama ukatumia udongo wa mfinyanzi kwa ajili ya kuweka sakafu. ukubwa wa banda unategemeana na idadi ya nguruwe na aina ya ufugaji wa nguruwe unaotaka kufanya. Ufugaji wa nguruwe na faida zake.utangulizi nguruwe ni mnyama amabaye hutumika kama chakula mbonga na pia ni zao la biashara kwa mfugaji, mjasirimali na mf.

ufugaji bora wa nguruwe Tanzania na Kilimo
ufugaji bora wa nguruwe Tanzania na Kilimo

Ufugaji Bora Wa Nguruwe Tanzania Na Kilimo Year 3: nguruwe 500 watazaa watoto 3500, chagua watoto 1500 tu. kutoka hapo unamentein number 1500, kila mwaka unaweza kuuza. watoto zaidi ya 3000, na nguruwe wakubwa 1500. 1500*200000= tsh 300,000,000 = kwa mwaka. nusu ya hiyo pesa ni gharama zingine, unabaki na 150mil. Pamoja na matunzo mengine ya nguruwe ili mfugaji aweze kupata faida kama alivyokusudia, ni muhimu kufahamu sifa za nguruwe bora wa kufuga. sifa za nguruwe bora. dume. asichaguliwe kutoka kwenye ukoo wenye historia ya magonjwa au kilema cha kurithi. awe na miguu imara, mchangamfu na mwenye afya bora. Gharama za ufugaji wa nguruwe faida zake pamoja na changamoto na mbinu zilizopo katika ufugaji bora wa nguruwe kisasa na kibiashara tanzania. 1. chagua koo za nguruwe zinazozalisha vyema. uchaguzi wa koo huchangia zaidi ya asilimia 80 katika mafanikio ya ufugaji wa nguruwe, chagua koo amabayo ina zalisha watoto wengi na wenye afya. Lishe bora huharakisha ukuaji wa nguruwe na kupata uzito unaohitajika kwa kipindi kifupi. lishe bora hupunguza gharama za ufugaji na hivyo kuongeza faida kwa mfugaji sababu nguruwe atahitaji kiasi kidogo tu cha chakula na atachukua muda mfupi kupata uzito mkubwa. lishe bora itapunguza maambukizi ya magonjwa.

ufugaji Bora Wa Nguruwe Kibiashara Utunzaji Na Faida Za Kufuga Nguruwe
ufugaji Bora Wa Nguruwe Kibiashara Utunzaji Na Faida Za Kufuga Nguruwe

Ufugaji Bora Wa Nguruwe Kibiashara Utunzaji Na Faida Za Kufuga Nguruwe Gharama za ufugaji wa nguruwe faida zake pamoja na changamoto na mbinu zilizopo katika ufugaji bora wa nguruwe kisasa na kibiashara tanzania. 1. chagua koo za nguruwe zinazozalisha vyema. uchaguzi wa koo huchangia zaidi ya asilimia 80 katika mafanikio ya ufugaji wa nguruwe, chagua koo amabayo ina zalisha watoto wengi na wenye afya. Lishe bora huharakisha ukuaji wa nguruwe na kupata uzito unaohitajika kwa kipindi kifupi. lishe bora hupunguza gharama za ufugaji na hivyo kuongeza faida kwa mfugaji sababu nguruwe atahitaji kiasi kidogo tu cha chakula na atachukua muda mfupi kupata uzito mkubwa. lishe bora itapunguza maambukizi ya magonjwa. Yama, mafuta na mbolea. hatahivyo wafugaji wengi hufuga ngumwe bila kuzingatia kanuni za ufugaji bora ambazo ni pamoja na uchaguzi wa njia za ufugaji na utunzaji bora wa ngumw. , dume, jike na watoto. ili ngumwe aweze kutoa mazao mengi na bora anatakiwa kulishwa chakula bora na kilichochanganywa vizuri, kufugwa kwenye nyumba bora, pia kumkinga. Mchaganyo bora wa chakula. 4. tiba bora na kinga. 5. maji na lishe (upatikanaji wa vyakula muhimu kwake) faida ya ufugaji wa nguruwe. faida kuu ni zao la chakula lakini pia ni zao lenye kukuongezea kipato. lengo langu nikueleza namna tunavyoweza kufuga na kupata faida. hatua zifuatazo ni muhimu kuzigatia.

Comments are closed.