Ultimate Solution Hub

Ukiona Haya Kwa Mpenzi Wako Hata Kama Unampenda Sana Mwache Aende

ukiona Haya Kwa Mpenzi Wako Hata Kama Unampenda Sana Mwache Aende
ukiona Haya Kwa Mpenzi Wako Hata Kama Unampenda Sana Mwache Aende

Ukiona Haya Kwa Mpenzi Wako Hata Kama Unampenda Sana Mwache Aende Wengi wameumia na kulia kwa sababu ya kung’ang’ania visivyostahili kung’ang’aniwa. unashika weee na hujui wakati gani unapaswa kuachilia. sasa nisikilize!. Kwenye mapenzi tunahitaji furaha,faraja lakin ukiwa kwenye mahusiano ambayo hayakupi furaha hayakupi aman why uendelee kuyashikiria?ukiona hauna furaha kwen.

Ukiyaona haya Sita 6 kwa mpenzi wako hata kama unampenda о
Ukiyaona haya Sita 6 kwa mpenzi wako hata kama unampenda о

Ukiyaona Haya Sita 6 Kwa Mpenzi Wako Hata Kama Unampenda о Tambua kama mtu wako anakutamkia neno “nakupenda” kwa kumaanisha. kuna tofauti kubwa kati ya mtu anayekutamkia nakupenda kwa kumaanisha na yule anayekutamkia neno hilo hilo kwa lengo la kupata kitu fulani kutoka kwako. ukiona mtu wako anakutamkia neno “nakupenda” hali akiyatazama macho yako kwa kujiamini. #jamii#mahusiano#bandari#faraja#upendo#. Yamkini una juhudi sana za kumwambia mpenzi wako kuwa unampenda sana na unafurahi kuwa naye maishani, haya ni maneno mazuri na makubwa sana, lakini kama yeye ni mmoja ya watu wenye lugha ya matendo ya kuhudumia itakuwia ngumu kumuonyesha unampenda kwa sababu kwake yeye upendo au mapenzi hayaonyeshwi kwa maneno, bali kwa kumsaidia kitu au vitu. Ukiona moyo wako bado unamhitaji hata kama yapo aliyokukosea, tafsiri yake ni kwamba umeona umuhimu wake na utakapopata nafasi ya kurudiana naye utakuwa makini usimpoteze tena. hisia zako zimetulia: inapotokea unakorofishana mara kwa mara na mwenzi wako, zile hisia tamu za mapenzi kati yenu hupotea kabisa na matokeo yake mnaishi kimazoea.

Comments are closed.