Ultimate Solution Hub

Ushuhuda Part O2 Adelaida Apelekwa Mbinguni Na Kuzimu Yesu Ampa

ushuhuda Part O2 Adelaida Apelekwa Mbinguni Na Kuzimu Yesu Ampa
ushuhuda Part O2 Adelaida Apelekwa Mbinguni Na Kuzimu Yesu Ampa

Ushuhuda Part O2 Adelaida Apelekwa Mbinguni Na Kuzimu Yesu Ampa #sylass tv online wasiliana nasi kwa 255742692079unaweza kutuma sadaka yako kwa m pesa 255742692079you can send your love offering to these numbers m pesa. About press copyright contact us creators advertise developers terms privacy policy & safety how works test new features nfl sunday ticket press copyright.

part 2 ushuhuda Wa adelaida De Carrillo Wa Bolvia Aliyeonyeshwa na yesuођ
part 2 ushuhuda Wa adelaida De Carrillo Wa Bolvia Aliyeonyeshwa na yesuођ

Part 2 Ushuhuda Wa Adelaida De Carrillo Wa Bolvia Aliyeonyeshwa Na Yesuођ Ahsante baba, mwana, na roho mtakatifu,ameni.angelica:ushuhuda huu siyo uwongo; siyo mzaha; siyo hadithi; siyo ndoto, kuzimu ni kweli ipo! kuzimu nihalisia! kwa yeyote asiyeamini, nataka kukueleza kuzimu ni kweli ipo, ni kweli ni halisi. ninakosamaneno zaidi mazuri ya kuelezea uhalisia wa kuzimu. Waonye wanadamu kuhusu kuzimu kisha bwana alituambia kwamba ni yeye alimwonyesha angelica zambrano, mbinguni na kuzimu na kwamba ushuhuda wake ni kweli. alisema, “watu wengi wanasema hakuna kuzimu kwa sababu bwana ni mungu. wa rehema. ni kweli kwamba mungu ni wa rehema, lakini anaadhibu wanaogeukia mbali naye. Ushuhuda wangu uko namna hii: siku moja ya jumapili, kwenye saa 3 hivi, kanisa letu lilikuwa na kipindi cha huduma. mungu alikuwa akimimina baraka zake juu yetu. mchungaji wangu aliniambia, “adelaida, bwana ananiambia nikupake mafuta.”. aliweka mafuta mengi kwenye viganja vya mikono yake na akaanza kunipaka mwilini. Paradiso ni makao ya muda kwa ajili ya watakatifu, kusubiria mwisho wa mambo yote ambapo yerusalemu mpya itafunguliwa na kuwa makao ya milele pamoja na bwana. kama ambavyo watakatifu wako kwenye makao ya muda paradiso, ndivyo ambavyo na wenye dhambi wako kwenye makao ya muda kuzimu aliko shetani sasa – maana shetani hayuko jehanamu bado.

Comments are closed.