Warning: Undefined variable $url_arsae_backup in /srv/users/serverpilot/apps/servyoutube/public/wp-content/plugins/SupperIMG/functions.php on line 329
Ultimate Solution Hub

Wakolosai 3 23 24 Kila Mfanyacho Fanyeni Kwa Moyo Wote Kwa Sababu Ya

wakolosai 3 23 24 kila mfanyacho fanyeni kwa moyo
wakolosai 3 23 24 kila mfanyacho fanyeni kwa moyo

Wakolosai 3 23 24 Kila Mfanyacho Fanyeni Kwa Moyo Kila mfanyacho, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya bwana na si kwa ajili ya mtu. kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. mtumikieni kristo bwana!. 23 kila kazi mnayoifanya, ifanyeni kwa bidii. fanyeni kama mnamfanyia bwana wenu wa mbinguni, na si kama mnamfanyia bwana wa dunia hii. 24 mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa bwana ujira aliowaahidi watu wake. ndiyo, mnamtumikia kristo aliye bwana wenu halisi. read full chapter.

wakolosai 3 23 24 kila mfanyacho fanyeni kwa moyo
wakolosai 3 23 24 kila mfanyacho fanyeni kwa moyo

Wakolosai 3 23 24 Kila Mfanyacho Fanyeni Kwa Moyo Kila mfanyacho, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya bwana na si kwa ajili ya mtu. wakolosai 3:23 kila mfanyacho, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya bwana na si kwa ajili ya mtu. | biblia habari njema (bhn) | pata programu ya bure ya bibilia sasa hivi. | app ya biblia | bible. “lo lote mfanyalo, lifanyeni kwa moyo, kama kwa bwana, wala si kwa wanadamu.” —wakolosai 3:23, union version. maana ya wakolosai 3:23 mkristo anapaswa kujitahidi kuwa mfanyakazi mwenye bidii kwa sababu mtazamo wake kuhusu kazi una uhusiano wa moja kwa moja na ibada anayomtolea yehova mungu. 22 enyi watumwa, watiini wakuu wenu wa kidunia katika mambo yote, na si tu wakati wanapowatazama kwa kuwa mnataka kujipendekeza kwao; ila fanyeni hivyo kwa moyo wote, kwa sababu ya kumcha bwana. 23 kila mfanyalo, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya bwana na si kwa ajili ya mtu. 24 kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Wakolosai 3:23 biblia habari njema (bhn) kila mfanyacho, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya bwana na si kwa ajili ya mtu. kusoma sura kamili wakolosai 3. mtazamo wakolosai 3:23 katika mazingira ‹ wakolosai 3:22; wakolosai 3:24 ›.

Comments are closed.