Ultimate Solution Hub

Wanafunzi 30 Wapelekwa China Kusoma Uhandisi Waziri Awapa Bendera Ongezeko La Kila Mwaka

About press copyright contact us creators advertise developers terms privacy policy & safety how works test new features nfl sunday ticket press copyright. Waziri wa elimu, sayansi na teknolojia prof. waziri wa elimu, sayansi na teknolojia prof. adolf mkenda amekabidhi bendera ya tanzania kwa wanafunzi 30 wanaokwenda nchini china kusoma programu ya uhandisi katika taasisi ya chongqing vocational institute of enginnering kupitia kampuni ya group six international & sino tan industrial park.

Waziri wa elimu sayansi na teknolojia prof.adolf mkenda leo ameshiriki hafla fupi ya kuwaaga wanafunzi 30 wa taasisi ya teknolojia ya dar es salaam (dit) wa shahada ya kwanza ya uhandisi ujenzi wanaotarajia kwenda nchini china kuendelea na mafunzo yao ya mwaka wa pili na wa tatu. Serikali ya tanzania imeishukuru serikali ya china kwa kutoa fursa na kufadhili wanafunzi 30 kutoka taasisi ya teknolojia dar es salaam (dit) kwenda kusoma programu ya uhandisi nchini humo kupitia kampuni ya group six international & sino tan industrial park. akizungumza jijini dar es salaam mara baada ya kukabidhi bendera ya tanzania kwa. Na said mwishehe, michuzi tv serikali kupitia wizara ya elimu, sayansi na teknolojia imetoa baraka kwa wanafunzi 30 wanaosoma taasisi ya tek. Wizara ya elimu, sayansi na teknolojia imetoa baraka kwa wanafunzi 30 wanaosoma taasisi ya teknolojua dar es salaam( dit) wanaochukua digrii ya kwanza ya uhandisi na sasa wamepata nafasi ya kwenda kusoma nchini china. akizungumza leo jijini dar es salaam wakati wa kuwaaga wanafunzi hao wa dit ambao wanakwenda kusoma katika.

Na said mwishehe, michuzi tv serikali kupitia wizara ya elimu, sayansi na teknolojia imetoa baraka kwa wanafunzi 30 wanaosoma taasisi ya tek. Wizara ya elimu, sayansi na teknolojia imetoa baraka kwa wanafunzi 30 wanaosoma taasisi ya teknolojua dar es salaam( dit) wanaochukua digrii ya kwanza ya uhandisi na sasa wamepata nafasi ya kwenda kusoma nchini china. akizungumza leo jijini dar es salaam wakati wa kuwaaga wanafunzi hao wa dit ambao wanakwenda kusoma katika. Rais dkt. samia ateua, aridhia uteuzi wa viongozi tanzania, kenya, uganda mwenyeji afcon 2027 mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na makatibu wakuu breaking news: rais mwinyi ateua viongozi wa tume ya uchaguzi zanzibar breakiing news: balozi ali karume afukuzwa ccm. Serikali ya china imewatunuku wanafunzi 46 wa kitanzania ufadhili wa masomo na wanafunzi wengine 114 wameshinda ufadhili wa programu ya shahada chini ya wizara ya biashara kwenda kusoma china kwa mwaka wa masomo 2023 24. akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wanafunzi hao iliyofanyika ubalozi wa china nchini tanzania, jana, balozi wa china nchini tanzania, chen.

Rais dkt. samia ateua, aridhia uteuzi wa viongozi tanzania, kenya, uganda mwenyeji afcon 2027 mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na makatibu wakuu breaking news: rais mwinyi ateua viongozi wa tume ya uchaguzi zanzibar breakiing news: balozi ali karume afukuzwa ccm. Serikali ya china imewatunuku wanafunzi 46 wa kitanzania ufadhili wa masomo na wanafunzi wengine 114 wameshinda ufadhili wa programu ya shahada chini ya wizara ya biashara kwenda kusoma china kwa mwaka wa masomo 2023 24. akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wanafunzi hao iliyofanyika ubalozi wa china nchini tanzania, jana, balozi wa china nchini tanzania, chen.

Comments are closed.