Ultimate Solution Hub

Wananchi Wana Balaa Haya Ni Mafuriko Ya Mashabiki Wa Yanga Ikwiriri Ally Kamwe Aongoza Msafara

ally kamwe Aipa yanga Mtihani Mzito Kwa Mazembe Soka La Bongo
ally kamwe Aipa yanga Mtihani Mzito Kwa Mazembe Soka La Bongo

Ally Kamwe Aipa Yanga Mtihani Mzito Kwa Mazembe Soka La Bongo Klabu ya yanga leo julai 15,2024 imefungua rasmi hamasa kuelekea wiki ya mwananchi ambapo mashabiki wa yanga wamejetikoze kwa wingi kuunga mkono jitihada za. Kutoka ikwiriri wananchi wakiongozwa na ally kamwe hivi ndivyo shabiki wa yanga sc msanii maarufu fumau mshahiri akitoa burudani kwa mashabiki wa yanga hapa ikwiriri ikiwa ni mwanzo wa hamasa.

ally kamwe Afunguka Ratiba ya yanga Kuelekea Tunisia Michuano ya Caf
ally kamwe Afunguka Ratiba ya yanga Kuelekea Tunisia Michuano ya Caf

Ally Kamwe Afunguka Ratiba Ya Yanga Kuelekea Tunisia Michuano Ya Caf Maneno ya hekima kutoka katika kinywa cha patrick loch otieno lumumba; na ni hekima hii, inanituma mbele yenu wananchi, mashabiki na wanachama wa klabu yetu pendwa, kuwaambia kuwa, ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka jukwaani. nimesimama miaka miwili juu ya hili jukwaa, tumeimba, tumecheza, tumefurahi na alhamdulillah tumeshinda pamoja kila. 4m followers, 98 following, 19k posts young africans sports club (@yangasc) on instagram: "⚽️ official profile of young africans sc 30 times premier league champions record 49 unbeaten league games 賂cafcc finalist 22 23". Kamwe alianza kazi yake yanga mnamo septemba 25, 2022, na leo, julai 29, 2024, amejiuzulu nafasi hiyo baada ya kuitumikia kwa mafanikio. katika kipindi chake cha utumishi, kamwe alijitahidi kuimarisha mawasiliano na habari ndani na nje ya klabu, na pia aliweka mikakati mizuri ya kuisadia yanga kupata nafasi nzuri katika soka la tanzania na. Ni wazi wengi mnakumbuka simba ilishinda ugenini bao 2 kwa bila dhidi ya jwaneng galaxy ya namibia lakini walipokuja uwanja wa mkapa simba ikatolewa on aggregate. haya makosa yasijirudie kwa yanga, wananchi wana kiu ya mafanikio, lakini pamoja na kiu hiyo naomba tujifunze kwa morocco, mechi yao na simba tiketi zote zimeisha ni full house.

Comments are closed.