Ultimate Solution Hub

Wazee Wa Simba Wafanya Sherehe Kubwa Kupongeza Usajili Wa Simba Tumewapania Yanga

Kwa matangazo habari na matukio tupigie0625466848 au 0753393036. Rasmi simba watangaza majina ya wachezaji (8) waliosajiliwa msimu wa 2022 23 usajili wa kimataifa.#kibweonlinetv #simbasc #usajilisimba #ahmedally #yangasc #.

Je unahitaji kutangaza biashara na wispoti tv.karibu tukuhudumie kwa gharama nafuu, wasiliana nasi kwa simu namba 0743040370 au tucheki kupitia whatsapp namb. Wapo pia yusufu kagoma, kiungo mkabaji kutoka singida fountain gate na lameck lawi ambaye licha ya simba kumtambulisha kuwa mchezaji wake coastal union usajili wake umeingia doa timu yake ikikanusha kumalizana na mnyama. wasikie wadau. kipa wa zamani wa simba, steven nemes amesema uamuzi wanaoufanya simba ni sahihi kwa sababu timu waliyokuwa. Katika wachezaji wapya waliosajiliwa na simba hadi sasa, hakuna hata mmoja amewahi kuifunga yanga katika michuano yoyote ilhali wale wa yanga, kuna dube aliyeifunga simba mara nne. hapo ndipo matokeo ya 4 0, yanakuja. dube akiwa na azam alikuwa mwiba mchungu kwa simba. amewafunga wekundu wa msimbazi hao mara nne kwenye mashindano tofauti tangu. Siku 10 nzito kwa simba, usajili mpya kushtua afrika. alhamisi, juni 22, 2023. by mwanahiba richard. chief reporter. mwananchi communications limited. kuna siku 10 tu zimebaki dirisha kubwa la usajili lifunguliwe na hapo ndipo mtaielewa simba mpya ambayo viongozi wamesisitiza, hawatarudi kinyonge.

Comments are closed.