Ultimate Solution Hub

Waziri Aweso Ajifanya Mteja Apiga Simu Huduma Kwa Wateja Dawasa Sikia Alivyojibiwa

waziri aweso Atengua Uteuzi Wa Meneja Wa Ruwasa Dodoma вђ Global Publishers
waziri aweso Atengua Uteuzi Wa Meneja Wa Ruwasa Dodoma вђ Global Publishers

Waziri Aweso Atengua Uteuzi Wa Meneja Wa Ruwasa Dodoma вђ Global Publishers 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.#wasafi #wasafitv #wasafifm. Waziri aweso amefurahishwa na kauli njema kutoka mmoja wa wahudumu kwa wateja wa mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira dar es salaam (dawasa) wakati wa ziara yake inayoendelea jijini dar es salaam alipopiga namba hiyo 0800110064 inayopatikana bila malipo na kuongea na mhudumu kwa weledi zaidi kwa kuhakikishiwa huduma bila usumbufu.

waziri aweso Ahimiza Ajenda Ya Maji Afrika Habarileo
waziri aweso Ahimiza Ajenda Ya Maji Afrika Habarileo

Waziri Aweso Ahimiza Ajenda Ya Maji Afrika Habarileo Waziri aweso ametoa maelekezo hayo jijini dodoma wakati wa kikao cha kisekta kuelekea utekelezaji wa bajeti ya wizara ya maji 2024 2025. "katika eneo la huduma kwa wateja bado kuna changamoto tunazopaswa kuzifanyia kazi, unakuta mwananchi anapiga simu kutoa taarifa lakini simu haipokelewi ama ikipokelewa taarifa haifanyiwi kazi kwa wakati. 3,013 likes, 76 comments wasafifm on july 2, 2024: "aweso ajifanya mteja dawasa apiga simu huduma kwa wateja waziri wa maji, jumaa aweso alivyopiga simu huduma kwa wateja dawasa na kujifanya mteja ili kuangalia uwajibikaji wao kwa wateja ambapo amefurahishwa na kauli njema kutoka kwa mmoja wa wahudumu kwa wateja #wasafidigital". Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira dar es salaam (dawasa) imeanza utekelezaji wa agizo la waziri wa maji mhe. jumaa aweso la kuwarudishia huduma ya maji wateja waliositishiwa huduma kwa msamaha wa kutolipa pesa ya faini ya kurudishiwa huduma alilolitoa mapema wiki hii kwenye vyombo vya habari. Wasiliana nasi kupitia namba zetu za huduma kwa wateja katika kanda zetu zote za kihuduma dawasa.

Comments are closed.