Ultimate Solution Hub

Waziri Aweso Atoa Maagizo Haya Kukabiliana Na Tatizo La Maji Dar

waziri aweso Atengua Uteuzi Wa Meneja Wa Ruwasa Dodoma вђ Global Publishers
waziri aweso Atengua Uteuzi Wa Meneja Wa Ruwasa Dodoma вђ Global Publishers

Waziri Aweso Atengua Uteuzi Wa Meneja Wa Ruwasa Dodoma вђ Global Publishers Dar es salaam. wakazi wa magomeni kota, jijini hapa wamemuomba waziri wa maji, jumaa aweso kuridhia ombi la kufunga mita kila nyumba katika mradi huo ili iwe rahisi kwao kulipia bili za huduma ya maji, wakieleza ilivyo sasa ni changamoto. wakizungumza baada ya waziri aweso kutembelea eneo hilo, leo alhamisi, julai 4, 2024 wamesema mfumo uliopo. Waziri wa maji mhe.jumaa aweso(mb) ameagiza dawasa kuhakikisha wanapata huduma hiyo muhimu.#maji #dawasa.

waziri Aweso Atoa Maagizo Haya Kukabiliana Na Tatizo La Maji Dar Es
waziri Aweso Atoa Maagizo Haya Kukabiliana Na Tatizo La Maji Dar Es

Waziri Aweso Atoa Maagizo Haya Kukabiliana Na Tatizo La Maji Dar Es Waziri wa maji, jumaa aweso akiwa katika mtambo wa kuzalisha maji ruvu chini. picha na mpiga picha wetu. pia amemtaka katibu mkuu wa wizara ya maji, mwajuma waziri kuhamishia ofisi yake kwa muda jijini dar es salaam kutoka dodoma katika kuhakikisha wanasimamia pamoja wananchi wapate huduma. wakati akieleza hayo, tayari waziri huyo ameshawaweka. Waziri aweso amesema hayo leo alhamisi, oktoba 27, 2022 alipotembelea ujenzi wa bomba la maji safi la mamlaka ya maji na usafiri wa mazingira dar es salaam (dawasa), lililopo tegeta wazo. ametoa agizo hilo wakati wakazi wa jiji la dar es salaam na mkoa wa pwani wameanza kupata maji kwa mgao kutokana na ukame kupungua kwa maji katika mitambo ya. Wananchi nanja walia na bwawa la maji kupasua kingo waziri aweso afika na kutoa maagizo haya .jishindie zawadi na global tvjaza sehemu zifuatazo hapo chi. Un imefanya mkutano wake wa kwanza wa kimataifa kuhusu maji baada ya miongoni kadhaa tangu ule uliofanyika miaka ya 70. leo katika studio zetu tumetembelewa na waziri wa maji wa tanzania juma aweso ambaye alihudhuria mkutano huo. dunia wiki hii imeadhimisha siku ya maji ambapo umoja wa mataifa ulisema asilimia 26 ya watu hawapati maji.

waziri aweso Atua Tanga Kufuatilia tatizo la maji atoa Maelekezo
waziri aweso Atua Tanga Kufuatilia tatizo la maji atoa Maelekezo

Waziri Aweso Atua Tanga Kufuatilia Tatizo La Maji Atoa Maelekezo Wananchi nanja walia na bwawa la maji kupasua kingo waziri aweso afika na kutoa maagizo haya .jishindie zawadi na global tvjaza sehemu zifuatazo hapo chi. Un imefanya mkutano wake wa kwanza wa kimataifa kuhusu maji baada ya miongoni kadhaa tangu ule uliofanyika miaka ya 70. leo katika studio zetu tumetembelewa na waziri wa maji wa tanzania juma aweso ambaye alihudhuria mkutano huo. dunia wiki hii imeadhimisha siku ya maji ambapo umoja wa mataifa ulisema asilimia 26 ya watu hawapati maji. Waziri wa maji mhe. jumaa aweso (mb) amesisitiza mamlaka za maji nchini ikiwemo mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira dar es salaam (dawasa) kuhakikisha agizo la mhe. rais dkt samia suluhu hassan la kufunga mita za malipo ya kabla kwa wateja kwa lengo la kuboresha utoaji wa huduma ya maji kwa wananchi wote. Waziri wa maji, jumaa aweso (mb) usiku wa kuamkia leo novemba 18, 2021 ametinga kwenye ofisi za dawasa kuwekea msisitizo mambo mbalimbali kwenye kipindi hiki ambacho dar es salaam imekumbwa na mgao wa maji ambapo mojawapo ya aliyoyasisitiza ni mgao wa maji kutolewa kwa uwiano na bila upendeleo.

Comments are closed.