Breaking waziri bashungwa Afanya Mabadiliko ya Wakuu wa Vitengo Vya
Breaking Waziri Bashungwa Afanya Mabadiliko Ya Wakuu Wa Vitengo Vya Iv. ujenzi wa barabara ya sumbawanga – matai – kasanga port (km 107) mkoani rukwa; v. ujenzi wa barabara ya nyahua – chaya (km 85.4) mkoani tabora; vi. ujenzi wa barabara ya mbinga – mbamba bay (km 66) mkoani ruvuma. vii. ujenzi wa barabara ya kidahwe – kasulu (km 63) mkoani kigoma; viii. ujenzi wa barabara ya nyamuswa – bunda –. Waziri wa ujenzi, innocent bashungwa, amesema kuwa serikali kupitia wakala wa barabara (tanroads) imejipanga kuhakikisha inarejesha mawasiliano ya barabara zote na madaraja yanayoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha ndani ya muda mfupi pindi yanapoharibiwa.
Tanroads News waziri bashungwa akagua Urejeshaji wa Mawasiliano ya
Tanroads News Waziri Bashungwa Akagua Urejeshaji Wa Mawasiliano Ya Wakala ya barabara tanzania (tanroads) umeanza kutekeleza maagizo ya waziri wa ujenzi mhe. innocent bashungwa aliyoyatoa februari 22, 2024 wakati wa ziara yake ya siku nne mkoani morogoro ya kukagua miundombinu ya barabara ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya dkt. samia suluhu hassan ya kumtaka waziri huyo kufika kusiko fikika ili kutatua kero za wananchi. About press copyright contact us creators advertise developers terms privacy policy & safety how works test new features nfl sunday ticket press copyright. Waziri wa ujenzi, innocent bashungwa amebainisha hatua za utekelezaji wa miradi ya sekta ya ujenzi inayoendelea kutekelezwa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na rais, mheshimiwa dkt. samia suluhu hassan katika mkoa wa kagera hususan ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja. Akizungumza leo novemba 13, 2023 mbele ya waziri wa ujenzi, innocent bashungwa aliyefanya ziara ya kukagua barabara hiyo, mkurugenzi wa maendeleo ya usafirishaji wa wakala wa mabasi yaendayo haraka (dart), fanuel kalugedo amesema mradi wa upanuzi wa barabara ya kimara hadi kibaha, mwanzoni haukuzingatia mahitaji ya mabasi yaendayo kasi.
waziri bashungwa Afanya Ziara ya Ukaguzi wa Miradi ya maendeleo
Waziri Bashungwa Afanya Ziara Ya Ukaguzi Wa Miradi Ya Maendeleo Waziri wa ujenzi, innocent bashungwa amebainisha hatua za utekelezaji wa miradi ya sekta ya ujenzi inayoendelea kutekelezwa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na rais, mheshimiwa dkt. samia suluhu hassan katika mkoa wa kagera hususan ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja. Akizungumza leo novemba 13, 2023 mbele ya waziri wa ujenzi, innocent bashungwa aliyefanya ziara ya kukagua barabara hiyo, mkurugenzi wa maendeleo ya usafirishaji wa wakala wa mabasi yaendayo haraka (dart), fanuel kalugedo amesema mradi wa upanuzi wa barabara ya kimara hadi kibaha, mwanzoni haukuzingatia mahitaji ya mabasi yaendayo kasi. Waziri mkuu akagua ujenzi wa barabara ya lami songwewaziri mkuu kassim majaliwa ametembelea na kukagua ujenzi wa barabara inayojengwa na serikali kwa kiwango. Waziri wa ujenzi, innocent bashungwa ameagiza kuondolewa kwa mhandisi mshauri lea associaties anayesimamia ujenzi wa barabara ya kitai lituhi sehemu ya amani makoro ruanda kwa kiwango cha lami na kuutaka wakala wa barabara (tanroads) kuendelea kusimamia ujenzi huo ili uweze kukamilika.