Breaking waziri bashungwa Afanya Mabadiliko Ya Wakuu wa Vitengo Vya
Breaking Waziri Bashungwa Afanya Mabadiliko Ya Wakuu Wa Vitengo Vya #ikulumawasiliano #ikuluzanzibar #ccm #samiasuluhuhassan #habarimaelezo #ktnnews #wizarayahabari #wizarayakilimo #wizarayaafya #wizarayaulinzi na amina omari. Waziri wa ujenzi innocent bashungwa ametoa kauli hiyo wilayani pangani alipopita kukagua ujenzi wa barabara hiyo .
bashungwa Ateuliwa Kuwa waziri wa Ulinzi Na Jeshi La Kujenga Taifa
Bashungwa Ateuliwa Kuwa Waziri Wa Ulinzi Na Jeshi La Kujenga Taifa Waziri bashungwa akagua ujenzi wa barabara ya njia nne bukoba kagera,atoa maagizo. Wakala ya barabara tanzania (tanroads) imetekeleza maelekezo ya waziri wa ujenzi, mhe. innocent bashungwa kwa kukamilisha upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara ya ushirombo nyikonga katoro (58km). kipande cha nikonga kashelo (10.48km) pamoja na daraja la nyikonga, kipande cha kashelo ilolangulu (15.0km) na kipande cha. Wakala ya barabara tanzania (tanroads) umeanza kutekeleza maagizo ya waziri wa ujenzi mhe. innocent bashungwa aliyoyatoa februari 22, 2024 wakati wa ziara yake ya siku nne mkoani morogoro ya kukagua miundombinu ya barabara ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya dkt. samia suluhu hassan ya kumtaka waziri huyo kufika kusiko fikika ili kutatua kero za wananchi. Innocent bashungwa ameagiza kuondolewa kwa wataalam wote, wanaosimamia ujenzi wa barabara ya kibaoni sitalike, sehemu ya kwanza ya kibaoni mlele (km 50) kwa kiwango cha lami kutokana na ujenzi wa mradi huo kusuasua na utekelezaji wake kuwa nyuma kwa asilimia 23.71. ameagiza kuondolewa kwa wataalam wote wa mhandisi mshauri wa mradi kampuni.