Breaking Waziri Bashungwa Afanya Mabadiliko Ya Wakuu Wa Vitengo Vya Waziri wa ujenzi, innocent bashungwa amemuagiza meneja wa wakala wa barabara tanzania (tanroads) mkoa kagera kumsimamia mkandarasi m s abemulo contractors lt. 8th june, 2024. barabara ya ushirombo katoro kuanza kuwekwa lami: bashungwa. geita. 08 juni, 2024. waziri wa ujenzi, innocent bashungwa ameeleza kuwa wakala ya barabara tanzania (tanroads) imekamilisha usanifu wa barabara ya ushirombo nyikonga katoro na sasa serikali ipo katika hatua ya kumtafuta mkandarasi wa kuanza ujenzi kwa kiwango.
Hakipensheni Waziri Bashungwa Kukutana Na Wadau Wa Sekta Ya Viwanda Pia, bashungwa ameeleza kuwa mheshimiwa rais dkt. samia suluhu hassan ameridhia kuanza mchakato wa manunuzi na kumpata mkandarasi kwa ajili ya upanuzi wa barabara ya mbagala rangi tatu hadi vikindu (km 3.8) kuwa njia nne na katikati kutakuwepo na miundombinu ya barabara ya mwendokasi. Na mwandishi wetu wamachinga pwani waziri wa ujenzi, innocent bashungwa, amesema kuwa serikali kupitia wakala wa barabara (tanroads) imejipanga kuhakikisha inarejesha mawasiliano ya barabara zote na madaraja yanayoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha ndani ya muda mfupi pindi yanapoharibiwa.aidha, bashungwa amewaelekeza mameneja wa tanroads mikoa yote kuendelea kufanya ukaguzi wa madaraja. Waziri bashungwa akagua urejeshaji wa mawasiliano ya barabara mkuranga, aeleza mikakati ya serikali. pwani. 28 aprili, 2024. waziri wa ujenzi, innocent bashungwa, amesema kuwa serikali kupitia wakala ya barabara tanzania (tanroads) imejipanga kuhakikisha inarejesha mawasiliano ya barabara zote na madaraja yanayoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha ndani ya muda mfupi pindi yanapoharibiwa. Mbeya. tanzania na zambia (tanzam) zinatarajia kusaini mkataba wa barabara ya njia nne kwa lengo la kupunguza ajali na msongamano wa magari kutoka igawa songwe hadi mbeya vijijini yenye urefu wa kilometa 34. akizungumza na waandishi wa habari leo jumapili, februari 12, 2023 mkuu wa mkoa wa mbeya, juma homera amesema waziri wa ujenzi na.