Ultimate Solution Hub

Waziri Jumaa Aweso Asimmishwa Kazi Mkurugenzi Udaku Special

waziri Jumaa Aweso Asimmishwa Kazi Mkurugenzi Udaku Special
waziri Jumaa Aweso Asimmishwa Kazi Mkurugenzi Udaku Special

Waziri Jumaa Aweso Asimmishwa Kazi Mkurugenzi Udaku Special 0 udaku special december 11, 2020 ajira za uhakika nje nje, bonyeza hapa mkurugenzi wa maji safi na usafi wa mazingira dodoma (duwasa), david palangyo amekuwa wa kwanza kuonja joto ya jiwe baada ya kusimamishwa kazi na waziri wa maji jumaa aweso. 0 udaku special april 18, 2021 ajira za uhakika nje nje, bonyeza hapa waziri wa maji jumaa aweso amewasimisha kazi kupisha uchunguzi, mkurugenzi wa mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira morogoro (moruwasa) mhandisi tamimu katakwemba, afisa maji bonde la wami ruvu bw.

waziri Wa Maji jumaa aweso Atinga Kwenye Ofisi Za Dawasa Usiku Wa
waziri Wa Maji jumaa aweso Atinga Kwenye Ofisi Za Dawasa Usiku Wa

Waziri Wa Maji Jumaa Aweso Atinga Kwenye Ofisi Za Dawasa Usiku Wa 0 udaku special april 20, 2022 nafasi za ajira zilizotangazwa leo bonyeza hapa waziri wa nchi, ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa, innocent bashungwa amemsimamisha kazi mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya mvomero mkoani morogoro, hassani njama hassani kuanzia leo tarehe 20.04.2022 ili kupisha uchunguzi. Na kwa taarifa tu, ndg waziri huyo meneja inaonekana amekula sana pesa za madawa ya kusafisha maji. rafiki yangu mmoja jana kanisimukia mkasa wa kwenda kazini huko dar bila kuoga, kisa maji yanafanana na chai ya maziwa kwa takribani week nzima ''anasema" inakuwaje matanki yanayopokea maji. Mkurugenzi wa maji safi na usafi wa mazingira dodoma (duwasa), david palangyo amekuwa wa kwanza kuonja joto ya jiwe baada ya kusimamishwa kazi na waziri wa maji jumaa aweso. aweso amemsimamisha kazi mkurugenzi huyo na kumuagiza katibu mkuu mhandisi anthony sanga kumbadilisha kituo cha kazi palangyo. aweso ambaye ameapishwa jana na rais john magufuli amesema. Aweso amsimamisha mkurugenzi na bodi iguwasa kwa shutuma za unyanyasaji: naibu waziri wa maji, jumaa aweso amemsimamisha kazi kwa muda usiojulikana mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya maji safi igunga iguwasa, mhandisi raphael melumba kwa lengo la kupisha uchunguzi wa madai ya kuwanyanyasa baadhi ya wafanyakazi ikiwemo hususan wanawake.

Comments are closed.