Ultimate Solution Hub

Waziri Mkuu Azindua Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Mwaka 2024

Maelezo waziri Mkuu Azindua Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Mwaka 2024
Maelezo waziri Mkuu Azindua Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Mwaka 2024

Maelezo Waziri Mkuu Azindua Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Mwaka 2024 Amesema mbio za mwenge wa uhuru za mwaka 2024 zitaendelea kutoa hamasa kwa jamii kusitisha kilimo haramu cha bangi, biashara na matumizi ya dawa za kulevya. aidha, utajiekeleza kwenye kuhamasisha jamii kulima kilimo cha mazao halali ya biashara na chakula, pamoja na kuhamasisha jamii kushiriki katika shughuli nyingine halali na zenye staha. Posted on: april 2nd, 2024. waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa kassim majaliwa majaliwa leo amezindua rasmi mbio za mwenge wa uhuru 2024 katika viwanja vya chuo cha ushirika mjini moshi,mkoani kilimanjaro. akizindua mbio hizo waziri mkuu aliwataka wakimbiza mwenge kitaifa kuhakikisha kuwa wanahubiri agenda za taifa katika.

waziri Mkuu Azindua Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Mwaka 2024 вђ Full Shangwe Blog
waziri Mkuu Azindua Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Mwaka 2024 вђ Full Shangwe Blog

Waziri Mkuu Azindua Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Mwaka 2024 вђ Full Shangwe Blog Na mwandishi wetu, kilimanjaro waziri mkuu, kassim majaliwa ametoa wito kwa watanzania kuepuka matumizi ya dawa za kulevya kwani yanaharibu nguvukazi ya taifa hasa vijana ambao wanategemewa kuongoza kufanya shughuli za uzailishaji na kuharakisha maendeleo. ametoa wito huo leo aprili 2, 2024 katika sherehe za uzinduzi wa mbio za mwenge wa uhuru zilizofanyika kitaifa katika […]. Waziri mkuu, kassim majaliwa, leo aprili 2, 2024 amezindua rasmi mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2024. katika uzinduzi huo, waziri mkuu alimuwakilisha rais wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar, dkt hussein ali mwinyi. uzinduzi huo umefanyika katika chuo kikuu cha ushirika mosh. “amesema mbio za mwenge wa uhuru za mwaka 2024 zitaendelea kutoa hamasa kwa jamii kusitisha kilimo haramu cha bangi, biashara na matumizi ya dawa za kulevya. amesema majaliwa aidha, utajiekeleza kwenye kuhamasisha jamii kulima kilimo cha mazao halali ya biashara na chakula, pamoja na kuhamasisha jamii kushiriki katika shughuli nyingine halali. #mwenge wa uhuru 2024 waziri ndalichako aridhishwa na maandalizi uzinduzi mbio za mwenge wa uhuru 2024 mkoani kilimanjaro ofisi ya waziri mkuu kazi ·.

Comments are closed.