Ultimate Solution Hub

Waziri Wa Ardhi Jerry Silaa Atoa Tamko Pisheni Eneo La Chanzo Cha M

Akiwa eneo la chanzo hicho cha maji cha mwankoko, waziri wa ardhi mhe. silaa alielezwa na diwwani wa mwankoko bw. emanuel emadaki kuwa, utata wa madai ya fidia kupisha kupisha chanzo cha maji cha mwankoko unatokana na sitomfahamu ya kujua kiwango halisi cha fidia anayotakiwa kulipwa mwananchi anayepisha mradi wa chanzo cha maji. Pisheni eneo la chanzo cha maji –waziri silaa. 10 oct, 2023. na munir shemweta, wanmm singida. wananchi wa mwankoko katika manispaa ya singida wametakiwa kuridhia fidia waliyopewa ili kupisha eneo la chanzo cha maji kinachotumika na wakazi wa mji wa singida. agizo hilo limetolewa na waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi jerry silaa.

Na mwandishi wetu, jamhurimedia, singida wananchi wa mwankoko katika manispaa ya singida wanaotakiwa kupisha mradi wa chanzo cha maji cha mwankoko wametakiwa kuridhia fidia waliyopewa na kupisha eneo la chanzo hicho kinachotumika na wakazi wa mji wa singida. agizo hilo limetolewa na waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi jerry silaa, tarehe 10 oktoba. Waziri wa ardhi mhe. jerry silaa akimueleza jambo diwani wa mwankoko emanuel emadaki (kushoto) alipotembelea eneo la chanzo cha maji cha mwankoko katika manispaa ya singida wakati wa ziara yake ya siku moja mkoa wa singida tarehe 10 oktoba 2023. waziri wa ardhi mhe. jerry silaa akipata maelezo mafupi kutoka kwa kamishna wa ardhi msaidizi mkoa. Wananchi wa mwankoko katika manispaa ya singida wanaotakiwa kupisha mradi wa chanzo cha maji cha mwankoko wametakiwa kuridhia fidia waliyopewa friday, august 16, 2024 27 °c. Jerry silaa amesimamisha matumizi ya kituo cha mafuta cha barrel petrol energy cha mikocheni jijini dar es salaam na kupiga marufuku ujenzi holela wa vituo vya mafuta nchi nzima vinavyojengwa kwenye makazi ya watu hatua inayohatarisha usalama wa watu na mali zao. waziri silaa ametoa agizo hilo desemba 23, 2023 alipoenda kukagua eneo.

Wananchi wa mwankoko katika manispaa ya singida wanaotakiwa kupisha mradi wa chanzo cha maji cha mwankoko wametakiwa kuridhia fidia waliyopewa friday, august 16, 2024 27 °c. Jerry silaa amesimamisha matumizi ya kituo cha mafuta cha barrel petrol energy cha mikocheni jijini dar es salaam na kupiga marufuku ujenzi holela wa vituo vya mafuta nchi nzima vinavyojengwa kwenye makazi ya watu hatua inayohatarisha usalama wa watu na mali zao. waziri silaa ametoa agizo hilo desemba 23, 2023 alipoenda kukagua eneo. Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi jerry silaa ameingia site kwa mara ya kwanza na kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa muda mrefu katika eneo la wazi lililopo mtaa wa surungai kata ya ipagala jiji la dodoma ambalo liliuzwa kimakosa kwa wananchi na baadaye wananchi hao kuzuiwa kuendelea na shughuli za ujenzi. akiwa. 763 likes, 12 comments itvtz on july 15, 2024: "#habari: waziri wa ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi mhe.jerry silaa, amesema mtu yeyote aliyeko kwenye eneo la hifadhi sio kwake, hivyo amewaomba wananchi wa kijiji cha kapalala wilayani mpanda, mkoani katavi, kutulia ili aweze kufanyia kazi na kuleta mrejesho wa kilio chao walichokiwasilisha kwenye ziara ya mhe.

Comments are closed.