Ultimate Solution Hub

Yanga Princess Vs Simba Queens 0 3 Derby Ya Wanawake Ligi Kuu

Yanga vs simba: timu ya wanawake ya simba imepata ushindi wa mabao 3 0 dhidi ya watani wao wa jadi yanga princess katika mchezo wa ligi ya wanawake uliopigwa. Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa kariakoo derby ya wanawake ambao simba queens wameibuka na ushindi wa magoli 3 1 dhidi ya yanga prince.

Simba queens imetinga fainali ya ngao ya jamii kwa wanawake, ikiwapiga watani zake yanga princess kwa penati 5 4 baada ya dakika 90 kumalizika bila goli kati. Kariakoo derby | simba queens imeendeleza ubabe wake dhidi ya watani wake wa jadi yanga princess kwa kuichapa mabao 3 1 katika mchezo wa ligi kuu ya wanawake #twpl uliopigwa leo kwenye dimba la azam complex, chamazi. <br ><br >magoli yote manne yamefungwa kipindi cha pili, aisha juma mnunka akifunga mawili dakika ya 49 na 90 2, jentrix shikangwa dakika ya 66 huku la kufutia machozi. Alhamisi, aprili 25, 2024. by nevumba abubakar. reporter. mwananchi communications limited. simba queens imeendeleza ubabe wake mbele ya yanga princess baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3 1 katika mchezo wa ligi kuu wanawake uliochezwa uwanja wa azam complex, dar es salaam. simba queens ambao ni vinara wa ligi hiyo, walianza kuandika bao. January 3, 2024. 6:20 pm. kikosi chetu cha simba queens kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3 1 dhidi ya watani wa jadi yanga princess katika mchezo wa ligi kuu ya wanawake (twpl) uliopigwa uwanja wa azam complex chamazi. aisha juma alitupatia bao la kwanza dakika ya pili baada ya kumalizia mpira wa krosi uliopigwa na esther wambui kutoka.

Alhamisi, aprili 25, 2024. by nevumba abubakar. reporter. mwananchi communications limited. simba queens imeendeleza ubabe wake mbele ya yanga princess baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3 1 katika mchezo wa ligi kuu wanawake uliochezwa uwanja wa azam complex, dar es salaam. simba queens ambao ni vinara wa ligi hiyo, walianza kuandika bao. January 3, 2024. 6:20 pm. kikosi chetu cha simba queens kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3 1 dhidi ya watani wa jadi yanga princess katika mchezo wa ligi kuu ya wanawake (twpl) uliopigwa uwanja wa azam complex chamazi. aisha juma alitupatia bao la kwanza dakika ya pili baada ya kumalizia mpira wa krosi uliopigwa na esther wambui kutoka. Simba imeendeleza ubabe wa ligi kuu ya wanawake (wpl) mbele ya yanga kwa kuifunga tena mabao 3 1 kwenye uwanja wa azam complex, chamazi. mabao ya simba queens yaliwekwa kimiani na asha mnunka katika dakika ya 49 na 90 kumfanya afikishe mabao 15 kwenye ligi nyuma ya kinara stumai abdallah mwenye mabao 17, huku bao la tatu leo likifungwa na. April 25, 2024. 6:31 pm. timu yetu ya simba queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3 1 dhidi ya yanga princess katika mchezo wa ligi kuu ya wanawake tanzania (twpl) uliopigwa uwanja wa azam complex. mchezo huo ulianza kwa kasi huku timu zote zikishambuliana kwa zamu na umiliki wa mpira ukiwa sawa katika muda mwingi wa kipindi cha kwanza.

Comments are closed.