Ultimate Solution Hub

Yanga Yaendelea Kung Ang Ania Ubingwa Wa Ligi Kuu Bara Soka La Bongo

Razack siwa, kocha wa makipa wa klabu ya yanga amesema kuwa bado wanang’ang’ania ubingwa wa ligi kuu kwa msimu wa 2020 21 kwa kuwa bado hawajakata tamaa. ushindani wa kusaka taji la ligi ambalo lipo mikononi mwa simba umezidi kushika kasi kwa timu zilizo ndani ya tatu bora ambazo ni azam fc, yanga pamoja na mabingwa watetezi simba. Ubingwa huo haukuja kirahisi, ilibidi wachezaji wa yanga kupambana hasa baada ya kutanguliwa kwa bao la dakika ya 32 lililofungwa na charles ilamfya ambalo lilidumu mpaka mapumziko. ilamfya aliwashtukiza yanga kwa kuitanguliza mtibwa, akiunganisha krosi ya mchezaji anayeichezea timu hiyo kwa mkopo akitokea simba, jimson mwanuke.

Yanga msimu huu, imeweka rekodi nzito ikikusanya jumla ya sh6.5 bilioni kutoka kwa wadhamini, zilizotokana na makombe mawili iliyochukua huku ikifika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa afrika. hiki ni kiwango kikubwa cha fedha kwa timu ya ligi kuu tanzania bara kuwahi kuzoa baada ya kutwaa ubingwa wa ligi na kombe la fa, tofauti na. Ona yanga walivyokabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi kuu bara – picha video. last updated may 26, 2024. klabu ya yanga sc wamekabidhiwa kombe lao la ubingwa wa ligi kuu bara mei 25, 2025 mara baada ya kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya tabora united fc. yana wameibuka na ushindi wa goli tatu kwa bila na kutimiza alama 77 katika msimamo wa. Mabingwa wa ligi kuu tanzania bara, yanga wameandaa ‘surprise’ kwa mashabiki wao wakati wa sherehe za kukabidhiwa kombe la ubingwa huo, mei 25 jijini dar es salaam. kikosi cha yanga kimerejea jana kutoka arusha, leo wanaelekea dodoma kwa ajili ya mchezo dhidi ya dodoma jiji fc kabla ya kurejea dar es salaam kukabiliana na tabora united. Sasa ni rasmi kwamba yanga ni bingwa mpya wa ligi kuu bara baada ya leo kuwachapa mtibwa mabao 3 1 kwenye uwanja wa manungu turiani mkoani hapa. mabadiliko matatu yaliyofanywa na yanga kipindi cha pili, yalitosha kubadili matokeo kwenye mchezo huo ambao mtibwa ilikwenda mapumziko ikiongoza bao 1 0 ambalo liliwapa matumaini kwamba wangeweza.

Comments are closed.