Ultimate Solution Hub

Zijue Siku Za Kushika Mimba Au Siku Za Hatari Kwa ођ

siku za hatari za kushika mimba Haraka Hatua kwa Hatua
siku za hatari za kushika mimba Haraka Hatua kwa Hatua

Siku Za Hatari Za Kushika Mimba Haraka Hatua Kwa Hatua Unajuaje siku za hatari kushika mimba? njia zifuatazo zitakusaidia kujua siku ya ovulation siku za hatari. 1.kwa miezi 8 mpaka 12 rekodi siku ambayo unaanza hedhi na uhesabu siku zote za kila mzunguko. siku ya kwanza ni ile unayoanza hedhi katika mwezi husika na hesabu mpaka siku unayoanza hedhi katika mwezi mwingine hapo mzunguko mmoja utakuwa. Katika mbegi hizi mbegu moja ndio hutakiwa kuungana na yai. siku za mwanamke kuweza kuwa kati ya 21 mpaka 35 inategeme na mwanamke. kikawaida walio wengi siku zao ni 28. katika siku hizi zipo siku 6 tu ambazo mwanamke anaweza kupata ujauzito. siku hizi huanzia siku ya 11,12,13,14,15 na 16. katika siku hizi siku ya 14 ndio ambayo huaminika zaidi.

zijue siku za kushika mimba au siku za hatari
zijue siku za kushika mimba au siku za hatari

Zijue Siku Za Kushika Mimba Au Siku Za Hatari 4.mabadiliko ya joto la mwili kipindi cha cha yai kupevuka. kwenye siku za hatari, hasa siku yenyewe yai linapotolewa, joto la mwili huongezeka kidogo kwa centigrade 0.3. unaweza kununua kipimajoto pharmacy ukajipima mwenyewe nyumbani na kuona mbadiliko haya. Siku ya 3:ongeza na folic acid. pamoja na multivitamin, utahitaji kuanza kutumia folic acid kidonge kimoja kila siku. nenda famasi ya karibu ununue folic acid au folate. folic acid itasaidia kupunguza hatari ya changamoto za kimaumbile kwa mtoto. baada ya kushika mimba daktari atakuongezea dozi zaidi ya folic acid. Zifahamu siku za hatari za kubeba mimba au siku za kupata mimba kwa mwanamke mwenye mzunguko wa hedhi wa siku 28. Siku za mwisho za mzunguko wa hedhi (siku 21 28): kabla ya kuanza kwa hedhi mpya, ambapo uwezekano wa kupata mimba unaweza kuwa mdogo. siku hatari: siku za ovulisheni (kawaida ni siku 14): siku hii ndio ambayo yai hutolewa kutoka kwenye ovari na inaweza kutungwa na shahawa, hivyo kuongeza uwezekano wa kupata mimba.

Comments are closed.